Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

SIASA SAFI ndio mhimili mkuu katika Taifa kwa sababu siasa safi hujenga umoja, mshikamano, amani, usawa utulivu na uzalendo baina ya mtu na katika Taifa. Taifa lisilokuwa na siasa safi ni taifa...
0 Reactions
0 Replies
256 Views
MAELEZO YA ZITTO KABWE NA MAJIBU YAKE KWA MUSTAKABALI WA AMANI NA USALAMA WA TAIFA LETU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 Hoja ya Zitto (Zitto Kabwe anaonyesha mshangao wa hali ya juu na hasira ya...
0 Reactions
5 Replies
646 Views
Bila shaka kila mmoja anajiuliza kwann mbowe hajagombea chauma? Jibu ni moja tu. Alipoenda kumsalimia Lisu kule gerezani , waliongea mambo mengi sana. Mbowe alitumwa na wanamtandao, kuwa aende...
61 Reactions
161 Replies
9K Views
Ndugu zangu Watanzania, Wana songwe kutoka wilaya mbalimbali na maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Songwe wapo wanasafiri na kuapa kukesha wana safiri kwa ajili ya kuwahi asubuhi na Mapema katika Ofisi...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora! Rais ametumia TZS99bn kujenga shule mpya 34, madarasa 834 mabweni 60 na maabara 78. Rais Samia amejenga shule mpya 27 za sekondari, shule mpya saba (7) za...
1 Reactions
10 Replies
525 Views
Jana Samia kachukua fomu, ukiangalia tukio Zima, mchukua fomu na Mgombea mwenza walikuwa wabaridi mno. Uchaguzi wa mwaka huu umepoa aswaa, hauna hamasa ata kidogo. Wananchi hawataki kabisa...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Polepole una nongwa ,,mzee wetu kaona akae kimya
23 Reactions
134 Replies
9K Views
Jeshi la Polisi limetoa tamko kufuatia taarifa za watu kupotea, kutekwa au kukamatwa na wanaodaiwa kuwa askari. Polisi wamesema hufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuthibitisha ukweli wa tukio, na...
8 Reactions
146 Replies
8K Views
King of Condolences -Peter Msechu tayari kashafyatua wimbo wa maombolezo wa Mheshimiwa Spika Mstaafu DrJob Ndugai. Soma Pia: Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Kongwa Dodoma,Mtoto wa kwanza wa marehemu aliyejitambulisha mbele za vyombo vya habari aitwae Catherine ameulizwa na Ayo TV ana wadogo wangapi amesema hana uhakika wapo wangapi lakini amekiri kuwa...
63 Reactions
370 Replies
25K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan licha ya jana kushinda kutwa nzima akifanya kazi mbalimbali pasipo kupumzika ...
2 Reactions
15 Replies
974 Views
Waafrika wengi wanapokuwa nje ya mfumo rasmi huonyesha dhamira ya kweli ya kutetea haki na kuleta mabadiliko. Hata hivyo, wanapopata nafasi za mamlaka, husahau majukumu waliyoahidi kuyatekeleza...
0 Reactions
11 Replies
490 Views
#IkuluWikiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii. 📆 Tarehe 04 - 10 Agosti, 2025
0 Reactions
2 Replies
403 Views
Rais Samia ameongeza fedha za elimu bila ada toka TZS312.1bn hadi TZS1.3Trilioni kama msingi wa Dira2050. Serikali ya Rais Samia imeendelea kutekeleza mpango wa elimu bila ada kuanzia elimu ya...
3 Reactions
32 Replies
920 Views
Kikwete ni rais mstaafu, hana jeshi wala hamiliki kikundi cha kigaidi. Kwann analalamikiwa kuhusu mwenendo wa uongozi wa nchi? Lawama anazopewa Kikwete anastahili ama ni chuki binafsi toka kwa...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ikishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na Taasisi mbalimbali imebaini kwamba ndani ya mwili wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Mangula...
23 Reactions
432 Replies
65K Views
Baada ya kuzuka wimbi la watanzania kudai katiba mpya miaka hiyo kipindi cha Jk kuliibuka matukio mengi ili kuzima wimbi la katiba mpya kwa watanzania CCM inakujaga na planned and calculated...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Yaani hii kampeni ya nishati safi ni kampeni hewa ambapo hakuna uhusiano kati ya kelele zinazopigwa na hali halisi. Siioni nia ya serikali kusaidia wananchi zaidi ya hadithi na porojo na...
10 Reactions
32 Replies
931 Views
Wana mtandao wa CCM wamefanikiwa kuteka taifa letu Sasa kwa gharama ya bilioni 700 za walala hoi muda ambao hakuna pesa za kuwalipa makandarasi wa barabara na reli nchi inaenda kwenye chaguzi za...
3 Reactions
3 Replies
458 Views
Siku ya Jana tarehe 09.08.2025 ilikuwa ni mwanzo mpya wa mabadiliko makubwa yaliyo mbeleni kwa Taifa baada ya mgombea bora wa urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu kuchukua fomu ya uteuzi...
5 Reactions
21 Replies
766 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…