Sitozungumzia yaliyotokea huko nyuma lakini Uzi huu ubaki kumbukumbu ya rejea kwa vizazi vijavyo kwenye mambo yafuatayo kuhusu CCM:
1. CCM ni mfumo
2. CCM ni mfumo mkubwa kuliko mifumo watu
3...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, Mgombea akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam ameeleza yale...
Waswahili wana msemo akiutaka mpe,yeye ndiye atakayejua.
Hakuna asiyejua Magufuri alifanya mambo makubwa sana ambayo hatukuwahi kuyashuhudia maishani mwetu
Tanzania ilipaa na kusifika kila...
Wakuu,
Nadhani CHAUMMA ndo chama kinachosimamia na kutekeleza Sera zake kwa uwazi
Yaani sera ya Ubwabwa inasimamiwa ipasavyo, wananchi wanakula tena kwa mwenendo huu lazima watu wajae kwenye...
Tume ya Amani ya DRC awali ilikuwa na Obasanjo, Uhuru Kenyata nk lakini jana wameongezwa Wastaafu wengine akiwemo Rais mstaafu wa Angola
Ndio najiuliza kwanini Ruto hakumpendekeza nguli wa...
Mmoja kati ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akivutana na askari wa Jeshi la Polisi katika Mahakama ya Kisutu ambako kesi inayomkabili mwenyekiti wao, Tundu Lissu...
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Jimbo la Vunjo wameeleza mshangao wao mkubwa kufuatia kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo Mhe. Dkt. Charles Kimei — ambaye amebaki kwenye...
Rasmi,
Haya matukio yanayojiri ndani cha CCM ni kiashirio dhahiri kuwa jambo kubwa linaenda kutokea kwa manufaa ya Nchi.
Jakaya aliwahi kusema kuwa makundi ndani ya CCM ni afya. Lakini ukweli...
Hivi Rais Samia anafuraha moyoni mwake kukaa na mafisadi waliokataliwa na mtangulizi wake?Chukulia Mama yako mzazi anakula na kunywa na wale maadui wa marehemu baba yako huku ukijua kifo cha...
Rais kwa Heshima kubwa kama ikikupendeza mwaka 2026 fanya harambee ya kuchangisha pesa kugharamia ada za masomo ya ufundi (VETA) kwa vijana.
Najua hushindwi kitu, ajira zimekuwa ngumu kwa...
https://www.youtube.com/live/Kl7JY-zdy0c?si=TWJ9NKMmXZrdQII6
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Mlimani City jijini Dar Es Salaam ambapo leo tarehe 12 Agosti 2025 Chama Cha Mapinduzi...
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ikiendelea kuunguruma mahakamani, @khaan_mbarouk ametaka kujua muktadha mzima wa kesi ambapo mkutubi @farhankihamu_jr ameamua kumrudisha kwenye...
WATEUENI WAGOMBEA AMBAO CCM HAITAPATA SHIDA KUWANADI - KAWAIDA MWENYEKITI WA UVCCM (T)
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) Taifa Mohamed Ali Kawaida amewataka wajumbe wa...
Miaka kadhaa iliyopita Mwigulu Nchemba alitamba sana kwa maneno ya TRAB na TRAT ambayo wengi waliona kuwa waziri hajui maana ya maneno hayo huku wengi wakishindwa kuzungumzia zaidi ya Tsh trilioni...
Kama huna nguvu hutafika popote wala hutateka chochote
Yohanne anaelezea nguvu za Kiimani lakini katika Siasa zetu wenye nguvu za kiuchumi ndio huuteka Ufalme
Ufalme siyo Kuongoza bali kuenjoy...
Kuna watu wanasema eti Polepole alizuia demokrasia mara ooh alikandamiza wapinzani eti aliunga mkono watekaji
Sasa Polepole alikuwa nani serikalini? Si yeye alikuwa katibu wa itikadi na uenezi wa...
Mchungaji Mashimo amefanya mkutano na viongozi wa Dini mbalimbali Agosti 13, 2025 jijini Dar es Salaam kwa lengo la kufikisha ujumbe wa amani kwa Watanzania hasa kuelekea kwenye kipindi hiki cha...
Rais Samia amejenga Hospitali ya Rufaa Mwanza kwa TZS25bn,akaboresha huduma za afya Bugando kwa TZS10bn na akafanya ukarabati wa hospitali kwa TZS5bn
Rais Samia katika jitihada zake za kuimarisha...
Yanga ilikuwepo, ipo, na itakuwepo.
Usiku wa kuamkia leo umewakera wanayanga wengi kwa uamuzi wa kutoa mchango wa fedha kwa chama cha siasa. Yanga ina mashabiki kutoka vyama vyote vya siasa. Hata...
"Mama Samia na Urithi wa Migawanyiko: Nchi Inavyozidi Kutengana"
Tangu Mama Samia Suluhu Hassan aapishwe kuwa Rais wa Tanzania, taifa limeingia kwenye sura mpya yenye mchanganyiko wa matumaini na...