TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,265
- 25,539
Amani muswano mtanzania.
Katika jambo nililojiuliza ni moja, kwa nini Lissu?.
Nimepitia mijadala mingi na kujipa jibu, kwamba kumbe hatukuwahi kuwa na kiongozi wa kisiasa anayetaka kuiondoa CCM kiringeni.
Wote hawa ni sinema tu.
Siku Lissu alipovaa jacket la kuzuia risasi nikaelewa, siku Lissu anasema sipambani na mbwa nitapambana na mwenye mbwa nikaelewa.
Sasa basi, CCM wamepima maji kutokana na siasa za maji taka na katiba kuwa bin dhoofu wakaona isiwe taabu, huyu anaweza kuchukua nchi kweli maana kadhamilia, wakamkaba.
Inshort; Lissu ndiye mpinzani wa kweli kwa sasa na hakuna mwingine.
Katika jambo nililojiuliza ni moja, kwa nini Lissu?.
Nimepitia mijadala mingi na kujipa jibu, kwamba kumbe hatukuwahi kuwa na kiongozi wa kisiasa anayetaka kuiondoa CCM kiringeni.
Wote hawa ni sinema tu.
Siku Lissu alipovaa jacket la kuzuia risasi nikaelewa, siku Lissu anasema sipambani na mbwa nitapambana na mwenye mbwa nikaelewa.
Sasa basi, CCM wamepima maji kutokana na siasa za maji taka na katiba kuwa bin dhoofu wakaona isiwe taabu, huyu anaweza kuchukua nchi kweli maana kadhamilia, wakamkaba.
Inshort; Lissu ndiye mpinzani wa kweli kwa sasa na hakuna mwingine.