Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uhaini ni jaribio la kubatilisha matakwa ya wananchi kusimika utawala kwa njia haramu. Kwa kuingilia mifumo ya uchaguzi CCM imekuwa ikibatilisha matakwa ya wananchi na kusimika utawala wake kwa...
11 Reactions
16 Replies
1K Views
Copy and paste Viongozi wengi wa kisiasa huwa wanajitengenezea taswira fulani ktk uongozi wao. Kwa mfano aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine, alijijengea taswira inayofanana kidogo na taswira...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu, Huyu Mchungaji ni nani. Hapa wamesema ametokea Zimbabwe maana huu utabiri wake umenishtua sana.
4 Reactions
7 Replies
794 Views
Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV Mwenyekiti wa Asasi ya Wanafunzi ya Siasa UDSM Antony Severine alisema: "Kama vyama vinaunganishwa na vijana kupitia ilani, ni...
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Kwa mfumo wao wa NIDA asee unaweza usifike kituo cha kupiga kura lkn mfumo ukatick umepiga kura tena umechagua CCM kabisa Yaani kura inajipiga automatically wewe ukiwa om afu utasikia 30 millon...
0 Reactions
2 Replies
371 Views
Najaribu ku connect matukio ya Mpina na Samia wake.............................tunakudai, kukatwa, then kwenda CCM. Dorothy kuachia urais, Mpina kuchukua fomu...WHAT DOES ALL THAT MEAN? Quencher...
0 Reactions
6 Replies
722 Views
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura. Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura...
124 Reactions
175 Replies
18K Views
CHADEMA kusema kuna vyama vya siasa ni matawi ya CCM kwa nini na wao hawakuanzisha vyama vya siasa matawi yao? Ili wakiabzisha kelele zao za no reform no election vyama matawi yao viwaunge mkono...
4 Reactions
15 Replies
535 Views
CCM imelaaniwa - Mhadhiri CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinakabiliwa na hali ngumu sasa kutokana na laana ya kushindwa kufuata misingi iliyoasisiwa na viongozi wa chama hicho.Mhadhiri wa Chuo Kikuu...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari wakuu! Mwaka jana mwezi wa 8 kuna watu walikuwa wakipita kila nyumba kuchukua namba za NIDA , alichokisema polepole ni ukweli mtupu! Wanaccm wezangu ni muda sasa tumuunge mkono Tundu lissu...
2 Reactions
1 Replies
285 Views
Kuna watu wawili ambao kesho wakienda kwenye TV au watoke na wasema maneno haya nchi hii tutakuwa na chaguzi huru na demokrasia. Watu hawa sio wanasiasa au wazee je wa hao ni nani na watasema nini...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Usipojua msingi wa kura zako mtu yoyote anaweza kuibuka ana theory zake na ukamwamini Vyama vya Upinzani Tanzania havijui hata idadi ya wanachama wake Kwahiyo kama ni kuiba kura wanajiibia wao...
2 Reactions
11 Replies
384 Views
1. Ni kwamba ccm na serikali kwa mda mrefu imekuwa na chaguzi ambazo siyo za kweli na za kihuni mbele ya jamii na ndiyo maana viongozi wao hata kwa macho yao walikuwa na kiburi cha kuwasikiliza...
9 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu Akiwa anazungumza leo Agosti 20 Mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 Kamanda Muliro wakati anafunga hotuba yake ametoa kauli hii: "Nina hakika kwa...
7 Reactions
118 Replies
6K Views
Pole pole ameamua kuia Ccm kifo cha Asili , taratibu polepole usifanye hivyo tafadhari.
1 Reactions
3 Replies
474 Views
Wanaosema wasanii wanaingia kwenye siasa ili kunufaika ni mtazamo tofauti kanuni na katiba ya Chama cha Mapinduzi CCM ikiwa ni mwanachama ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kwahiyo mtu yoyote ana...
0 Reactions
0 Replies
241 Views
Jamaa hana jipya wala hakua la maana ni michosho tu na kelele za kutaka ccm irudie mchakato wa uteuzi USSR
2 Reactions
18 Replies
856 Views
Wadau! Kwa wale wataalam wa Technolojia (IT) na wanaojua taratibu za ku-implement mfumo wowote duniani wataafikiana nami bila shaka kwa 95% kama sio 100%; Tunawaomba Viongozi wetu wa UKAWA wawe...
15 Reactions
45 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuanzia Sasa na muda wowote ule nitaijibu kwa kina na kwa hoja nzito sana Hotuba iliyotolewa na Askofu Gwajima siku ya hapo jana. Nitaeleza kwa kupita neno kwa neno na...
7 Reactions
170 Replies
6K Views
Kwani kuna mtu asiyejua kama mwaka huu kuna uchaguzi? Asubuhi mtu anakuuliza, “Unatiki?” Kama tumekutana, tusalimiane. Kila mtu ashike hamsini zake. Kama ukiona jambo lina faida kwako, kawaeleze...
1 Reactions
3 Replies
241 Views
Back
Top Bottom