Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama mjamshtua hadija kopa anaweza kusema muhula alioshika kijiti alikuwa sio yeye kwa sasa kila haadi zitakuwa zake. Maneno makande wakina lucas mwashamba mumetumia nguvu sana
1 Reactions
0 Replies
442 Views
Chama cha Wakulima(AAFP) kinatarajia kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni zake za uchaguzi mkuu mwaka huu siku ya Agosti 31 Kwamujibu wa taarifa iliyotolewa na mgombea Urais kwa tiketi ya chama...
0 Reactions
8 Replies
585 Views
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. Emanuel Nchimbi, alivyowasilia jijini Mwanza kwaajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu. Dkt. Nchimbi ataanza kampeni zake katika wilaya ya Kwimba...
2 Reactions
11 Replies
838 Views
Licha ya ratiba ya uchukuaji wa fomu za uteuzi wa nafasi za urais, uwakilishi na madiwani kuanza leo, lakini kwa nafasi ya urais vyama vya siasa vimeandika barua za kuomba kuchukua fomu kuanzia...
1 Reactions
3 Replies
273 Views
Kanda ya ziwa Yoote impe Mpina kura za hasira. Hili ndio eneo kura zake hutoa mwelekeo wa nani atashinda urais. Katavi, Rukwa na Mbeya wajazie kidogo kwa wingi. Kilimanjaro na Arusha wafanye yao...
-1 Reactions
17 Replies
951 Views
Salaam ?? Katika uzi huu naulizaje ...... Je, huyu anawazidi hekima watangulizi wake wote kiasi cha kutoshea kuka muda mrefu ikulu kuzidi wao ?? Natafakari Leo.... nahitaji kujua anaweza...
6 Reactions
11 Replies
508 Views
Kesi ya Luhaga Mpina wa ACT -Wazalendo dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) sasa inasikilizwa kwa njia ya mtandao. Chama cha ACT-Wazalendo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Majimbo yafuatayo hatapita kabisa kuomba kura na hajawahi kufika huko: 1. Kiteto 2. Simanjiro 3. Siha 4. Serengeti 5. Sikonge 6. Lupa 7. Handeni 8. Mbulu 9.
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Mgombea ubunge kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) jimbo la Longido, Esta Mayunga, hakuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, hatua anayoieleza kuwa haikufanyika kwa haki. Mbali na...
1 Reactions
11 Replies
784 Views
Kichwa cha Mada: HAIJAPATIKANA KUTOKEA KAMA DR. SAMIA: Mkutano wa Kawe, 28/08/2025 - Je, mabadiliko ni haya? Mwili wa Ujumbe: Wakuu wa Jamii Forum, Nimeona picha hii ikisambaa sana, na ujumbe...
3 Reactions
15 Replies
833 Views
Bwana mzee wetu Kikwete kwa kweli ni mnafiki sana nitanukuu kidogo alivosema kwamba raisi Samia Suluhu Hassan eti amerudisha wafanyabiashara ambao walikuwa wakikimbia kipindi JPM akiwa raisi Kama...
21 Reactions
46 Replies
4K Views
Walau wasingepitiwa na hili janga la taifa linaloangamiza kizazi cha kesho ambacho ndio nguvu kadi tegemewa ya taifa. Je, ni kupitiwa ama kwakuwa wamehamanika?
0 Reactions
21 Replies
788 Views
Kitakachofanywa na hospitali za Rufaa na hospital kuu kama Muhimbili ni kutotoa huduma yoyote ya msingi kwa mgonjwa kama hajalipia pesa kwenye huduma husika. Yes mpaka sasa ndicho kinachofanyika...
1 Reactions
2 Replies
336 Views
"Siwezi kusema kwamba tumefanya kila kitu kilichoelezwa kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi, lakini kwa ujasiri mkubwa naweza kusema tumefanya makubwa kuhakikisha nchi yetu inajengwa na Taifa...
3 Reactions
19 Replies
917 Views
Mimi naomba kama yupo mwwnye majibu anisaidie. Kama tuliambiwa "tunademka" na kwamba "kifo ni kifo" na hujwahi omba radhi kwa kauli za aina hiyo huku ukisema wewe ni "chura kiziwi' , sasa logic...
5 Reactions
5 Replies
391 Views
Yaani wapeleke bungeni commediana na chawa kama huyu Alafu waache msomi kama Zitto Haiwezekani japokuwa ana mapungufu.
2 Reactions
17 Replies
790 Views
Duru ndani ya viunga vya Baraza la Maaskofu zinatabanaisha kwamba, Kanisa linakusudia kusitisha kutoa huduma za Kijamii hadi pale uminywaji wa haki za ki msingi zitakapo komeshwa. "....baba...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Wakuu Akiwa anazungumza leo kwenye kampeni za CCM Kikwete amesema kuwa wakati nchi nyingine za Afrika zile hela za Uviko zilikuwa zinaenda kwa wafanyabiashara Bongo Samia alipeleka hizo hela...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Hali ya Tanzania ya sasa ni hii hapa Nyerere quoted 😰😰😰🤝 https://www.facebook.com/share/v/17PEnm9VsA/
1 Reactions
3 Replies
351 Views
Kwa zaidi ya nusu karne sasa jina la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere limebaki kuwa mwanga wa siasa na dira ya taifa let. Baba wa Taifa alijijengea heshima kama kiongozi shupavu, mwenye maono ya...
1 Reactions
23 Replies
972 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…