Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Palikuwa na uzi humu: Soma: Polepole kuitisha mifumo ya uchaguzi na NIDA kuhusiana na CCM kukaguliwa, ili kujiridhisha ina maana gani kiufundi? Uzi huo ulikuwa na maelezo ya kina katika lugha...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Z2GEtzscmaY https://www.youtube.com/watch?v=2cTVOqAW2xg Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akirudisha fomu ya Uchaguzi...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Singapore (SAMEV), uliofanyika tarehe 26 Agosti 2025 jijini...
1 Reactions
1 Replies
376 Views
  • Closed
Heshima sana wanajamvi, Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025. Inakadiriwa kanisa Katoliki...
47 Reactions
218 Replies
9K Views
Wanabodi, Leo, naendelea na zile mada zangu fikirishi za KMT, Kwa Maslahi ya Taifa。Somo la leo ni la kitu kinachoitwa “Kibali”。 Kufuatia Watanzania waliowengi hawapendi kusoma vitu virefu,mada...
37 Reactions
161 Replies
11K Views
Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha imeidhinisha bajeti ya dharura ya dola milioni 18.7 ili kuushughulikia mzozo huo. Rais Duma Boko alisema jeshi litasimamia usambazaji wa dawa za dharura, huku...
1 Reactions
2 Replies
415 Views
Akina Mpina, Cyprian, Massey nk Wote wamekwenda act wazalendo Chaumma kuna nini mbona hawaendi? 🐼
0 Reactions
14 Replies
729 Views
Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Namtumbo Dkt. Juma Zuberi HOMERA, Tarehe 26 Agosti, 2025 amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge...
0 Reactions
0 Replies
395 Views
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts. Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Historia inasema Wakoloni waliingia nchini kupitia Zanzibar na Pwani ya Tanganyika kisha wakaanza kuelekea Bara Ujio wa Karl Peters na David Livingston ni mifano iliyopo Je ni Waislam ndio...
2 Reactions
4 Replies
454 Views
Hii ndio Taarifa yake na sera zake kwa umma
4 Reactions
14 Replies
950 Views
Kufuatia funga ya Novena ya Kanisa Katoliki na Mahubiri ya Maaskofu wa Kanisa hilo Jumapili iliyopita, watu mbalimbali hususani wana CCM wamejitokeza kuwazodoa viongozi hao wa Dini kuwa...
0 Reactions
6 Replies
652 Views
Umoja ni Nguvu. Kwa hiyo kuungana na kuwa kitu kimoja ni jambo jema. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lilikuwa pigo kubwa kwa Tanzanyika.
0 Reactions
4 Replies
387 Views
Polepole: Wale wote mliojitoa kuipigani Tanzania tuwe makini sana, muiandaji yupo huko nje anawatafuta awadhuru na wasaii sana, Ni magengeni ya kihuni, ya kiuhalifu na yanahusiano na vyombo vyetu...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Thread: Luhaga Mpina Hana Vigezo vya Kugombea Urais Hii Ndiyo Sababu kiundani na ningeshanga sana kukubaliwa 1.Muda wa Uanachama Ulikosekana Kanuni za ACT WAZALENDO zinahitaji mwanachama awe na...
0 Reactions
5 Replies
714 Views
Mwisho , ataja utakatishaji wa PESA KAMA matokeo ya Samia kutokwenda Kujaza Fomu hizo !!!
1 Reactions
6 Replies
672 Views
Kichwa kimekuwa kizito baada ya kumsikiliza ndugu Polepole, kuna nyakati unakutana na habari ngumu usiyo na majibu hata unaona bora usingeijua...! Ni dhahiri kuwa haitatokea mgombea mkuu wa Nafasi...
1 Reactions
1 Replies
684 Views
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ni rais wa Awamu ya Nne. Ni Rais aliyediriki kutikisa ngome ya utawala akiwa kijana hata wakati wa Mwalimu. Hatujasahau ngoma zake za Boyz II Men akiwa na kundi...
17 Reactions
56 Replies
3K Views
Hoja yangu nimeileta kwa Wema tu, hasa nikikumbuka ya 2019, 2024 na nikurudishe pia 2020 ambapo uligombea lakini Aliyetangazwa kushinda Ubunge wa Kigoma Mjini ni Kirumbe Ng'enda wa CCM kwa matokeo...
11 Reactions
147 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…