Dkt. Mahera mgeni Maalum TCD, kutoa mada kabambe kuhusu Demokrasia, Haki na Uchaguzi Huru

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,239
Mkurugenzi_wa_Tume_ya_Taifa_ya_Uchaguzi%2C_Ndugu_Charles_Mahera_(Pichani)_atakuwepo_Dodoma_kwe...jpg

Taarifa hizi Muhimu kuhusu Wageni na watoa mada kwenye kikao cha vyama vya siasa kilichoandaliwa na TCD kitakachofanyika Dodoma hivi karibuni , zimepatikana leo kwenye Mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Chadema kwenye ofisi za chama hicho huko Kinondoni .

Dr Mahera ndiye Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Tanzania , na ndiye aliyesimamia uchaguzi Mkuu wa 2020 , uchaguzi ambao baadhi ya wagombea walitekwa na kupigwa , Kutupwa maporini na wengine kupewa kesi na TAKUKURU , wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi na mauaji ili wagombea wa ccm wapite bila kupingwa , Huyu ndiye mtoa mada mkuu kwenye mkutano wa TCD .

Zitto Kabwe ndiye kiongozi wa TCD aliyetoa mwaliko kwa MTUKUFU MAHERA ili atoe mada ya kidemokrasia siku hiyo .
 
View attachment 2155543

Taarifa hizi Muhimu kuhusu Wageni na watoa mada kwenye kikao cha vyama vya siasa kilichoandaliwa na TCD kitakachofanyika Dodoma hivi karibuni , zimepatikana leo kwenye Mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Chadema kwenye ofisi za chama hicho huko Kinondoni .

Dr Mahera ndiye Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Tanzania , na ndiye aliyesimamia uchaguzi Mkuu wa 2020 , uchaguzi ambao baadhi ya wagombea walitekwa na kupigwa , Kutupwa maporini na wengine kupewa kesi na TAKUKURU , wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi na mauaji ili wagombea wa ccm wapite bila kupingwa , Huyu ndiye mtoa mada mkuu kwenye mkutano wa TCD .

Zitto Kabwe ndiye kiongozi wa TCD aliyetoa mwaliko kwa MTUKUFU MAHERA ili atoe mada ya kidemokrasia siku hiyo .

Zitto anafanya dhihaka. Nakumbuka Mahera alifikia sehemu akaanza kumwambia Lissu aseme nini kwenye kampeni.
 
View attachment 2155543

Taarifa hizi Muhimu kuhusu Wageni na watoa mada kwenye kikao cha vyama vya siasa kilichoandaliwa na TCD kitakachofanyika Dodoma hivi karibuni , zimepatikana leo kwenye Mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Chadema kwenye ofisi za chama hicho huko Kinondoni .

Dr Mahera ndiye Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Tanzania , na ndiye aliyesimamia uchaguzi Mkuu wa 2020 , uchaguzi ambao baadhi ya wagombea walitekwa na kupigwa , Kutupwa maporini na wengine kupewa kesi na TAKUKURU , wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi na mauaji ili wagombea wa ccm wapite bila kupingwa , Huyu ndiye mtoa mada mkuu kwenye mkutano wa TCD .

Zitto Kabwe ndiye kiongozi wa TCD aliyetoa mwaliko kwa MTUKUFU MAHERA ili atoe mada ya kidemokrasia siku hiyo .
Huyu jamaa na huu mdomo wake anaonesha kabisa ni Mongolian idiot
 
View attachment 2155543

Taarifa hizi Muhimu kuhusu Wageni na watoa mada kwenye kikao cha vyama vya siasa kilichoandaliwa na TCD kitakachofanyika Dodoma hivi karibuni , zimepatikana leo kwenye Mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Chadema kwenye ofisi za chama hicho huko Kinondoni .

Dr Mahera ndiye Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Tanzania , na ndiye aliyesimamia uchaguzi Mkuu wa 2020 , uchaguzi ambao baadhi ya wagombea walitekwa na kupigwa , Kutupwa maporini na wengine kupewa kesi na TAKUKURU , wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi na mauaji ili wagombea wa ccm wapite bila kupingwa , Huyu ndiye mtoa mada mkuu kwenye mkutano wa TCD .

Zitto Kabwe ndiye kiongozi wa TCD aliyetoa mwaliko kwa MTUKUFU MAHERA ili atoe mada ya kidemokrasia siku hiyo .
Kwa hiyo kina Zitto wa akwenda kufundishwa demokrasia na Mahera?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Huyo ndo aliratibu ule uchaguzi mkuu2020,
jamani watanzania tuweni siriazi Kama tunaitaka tume huru na katiba huru.

Swali la kujiuliza Ni kwanini? tunaitafuta tume huru, kwani inamaana iliyopo sio huru?
Kama iliyopo sio huru na haikuweza kusimamia uchaguzi mkuu2020 bas huyo Dr. Mahela aanze hotuba yake kwa kusema vile tume isivyo huru akifanya hivyo hakika itasaidia kuipata tume huru,

Tofauti na hivyo wapiga kura wakanunue KY itawasaidia wapate kilainishi kupunguza maumivu ya 2025 Tena.
 
Back
Top Bottom