Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa za kiuchumi, ambapo mapato ya serikali mara nyingi hayalingani na matumizi yake. Badala ya rasilimali nyingi kuelekezwa katika maendeleo ya wananchi...
4 Reactions
11 Replies
554 Views
Mheshimiwa Dr Dorothy Gwajima amechukua Fomu Jimbo gani? NB: Tunaandika ripoti ya waliochukua Fomu ila hatumuoni Jimbo lolote
4 Reactions
81 Replies
5K Views
Wakuu! Baada ya Tume Huru ya Uchaguzi kuwaidhinisha wagombea 17 wa vyama vya kisiasa na kuanza rasmi kwa kampeni, ni wazi huu ni mwaka wa uchaguzi ,Tumeona wagombea wakijinasibu kwa mbwembwe na...
0 Reactions
2 Replies
583 Views
HAKUNA MKUBWA ZAIDI YA CHAMA. Usemi huo unaamana kubwa sana katika muktadha wa kusimamia haki, Misingi,kanuni, katiba na Imani ya chama cha mapinduzi inayoamini kuwa BINADAMU WOTE NI SAWA...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Naona kabisa ndivyo ilivyo Na ndicho hili Taifa linapitia kwa sasa.
1 Reactions
7 Replies
981 Views
|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Wakuu, Yaani kila sehemu ukienda wagombea wanazungumzia kujenga barabara, hospitali, shule na umeme Lakini sijasikia mtu yeyote akisema kuhusu namna gani watalinda vyanzo vya maji, watapunguza...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Uzi Maalum wa mijadala yote ya michakato ya ziara za kampeni za mgombea nafasi ya Urais Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu na Mgombea...
0 Reactions
3 Replies
434 Views
Sheria ni sheria hata kama ni sheria mbaya. Uchaguzi huu unaendeshwa kwa mujibu wa sheria zetu hadi hapo sheria itakaposema vinginevyo. Kelele zinazosikika za akina MWABUKUSI na wengine ni kelele...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
Njaa inaonekana kuwa ni kali sana na yenye kudhoofisha mwili.
4 Reactions
11 Replies
689 Views
Uzalendo wa kweli si kupambana na wananchi na raia wanao toa maoni pinzani dhidi ya mwenendo usio ridhisha wa serikali yao waliyo ipa dhamana . Bali ni kupigania usalama wa taifa na rasilimali...
24 Reactions
54 Replies
3K Views
Wana JF, Naomba mniruhusu niweke picha zenye sura za walioshiriki kitendo hiki cha kihuni ambacho ni uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu kama kamera yangu ilivyokinasa. Nina picha ambazo...
88 Reactions
1K Replies
304K Views
Ukiacha CCM vyama vingine vilivyobaki hata ungewapa wagombea Urais wake IST ya bure bado kuijaza mafuta wazunguke japo mkoa mdogo kama Dar kwa ajili ya kampeni wasingeweza kutokana na hali zao za...
0 Reactions
2 Replies
647 Views
Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya uandikishaji wa watu watakoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, CHADEMA wanahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha lakini CCM wanaendelea kuimarisha mbinu zao...
37 Reactions
137 Replies
11K Views
Hivi kwa hili jua la Dar es Salaam ila watu wanajazana kwenda kukaangwa na sera za uongo Kweli Dar watu hawana kazi, haya nendeni hapa ni kama naskia ule wimbo wa kekundu wajinga ndiyo waliwao
0 Reactions
13 Replies
624 Views
Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CHAUMMA Moza Ally amesema amejipanga kushinda Jimbo hilo, licha ya ugumu wa Mbunge wa sasa anayewakilisha Chama tawala. Moza amesema anafahamu matatizo...
0 Reactions
4 Replies
549 Views
Hawa hapa Kingine unachopaswa kukumbuka ni hiki, Dkt Wilson Mahera aliyekuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi 2020 ni Mgombea Ubunge Jimbo la Butiama kwa tiketi ya CCM =========== Mgombea wa...
14 Reactions
34 Replies
2K Views
LITANIA YA USHINDI Ee Mungu Baba kwa namna ya pekee utuvushie mtu huyu kwa salama ili naye atuvushe kutokea sasa na hata baadae ili akiingia kuwa kiongozi wa nchi, basi aiweke misingi ya...
2 Reactions
0 Replies
159 Views
Wote tunakumbuka nyomi ya Lowasa 2015 wakati anarudisha fomu Tume ya uchaguzi jinsi lilivyosimamisha shughuli zote Posta Kesho yake Tume ya uchaguzi ikapoga marufuku wagombea kusindikizwa...
0 Reactions
2 Replies
338 Views
Wasanii wengine watu wamewa unfollow kwenye kurasa zao na wanatukanwa na kubezwa kisa kuonesha wanaunga mkono juhudi za chama Huyu mwamba yeye wala hatetwi untouchable hata akifiwa na mpendwa...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…