Labda mlidhani itakuwa rahisi kuwafanyia uonevu kwakuwa ni moja ya kabila ambalo halijachanganyika sana na makabila mengine Tanzania.
Huo ni ujinga na upumbavu kuwaza hivyo, hatukujenga nchi yetu...
Mfanya biashara mwenzetu katupatia code moja matata. Usiku wa kuamkia leo alipewa tenda na kuambiwa aanze kazi chap chap!
Kazi ni kuhamisha “special” packages kutoka nyumba maalum huko Masaki...
Tumefanya kazi na wewe pale Carwash vizuri sana kwa mwaka na nusu mpaka ulipata shida. Tulilipa hela yao na ukarudi mtaaani ila wakaona utafaidi sana kuishi wamekuchukua na mpaka leo...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Clayton Chipando Maarufu Baba Levo ametoa ufafanuzi kuwa siku ya tarehe 11 na tarehe 12 Oktoba 2025 Jimbo la Kigoma Mjini...
Kituo cha Anga za Juu NASA - Zanzibar, kilichoko kilomita 15 mashariki mwa Mji Mkongwe, kilijengwa mwaka wa 1960 ili kufuatilia na kuwasiliana na Misheni za Anga za kwanza zilizofanywa na watu wa...
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani...
Ni taarifa za kushangaza, za kutisha, za kukera na kuogofya sana. Nimeongea na viongozi wengi wa ngazi zote, za chini, za kati na za juu. Wote wanakubaliana katika jambo moja: wananchi...
Wanabodi nawaamkua
Muda mrefu nimekuwa msomaji humu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Lakini kwa uwezo wa Mungu Muumba nimeona nichukue wasaa kuandika huu uzi mfupi.
Tanzania (Tanganyika)...
Duru za ndani ya CCM zinanyetisha kuwa hali ya mtafaruku na mfadhaiko mkubwa imeikumba CCM kutokana na pigo takatifu la ushindi wa Tundu Lissu na John Heche katika uchaguzi wa CHADEMA taifa...
TAARIFA KWA UMMA
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati tunatoa taarifa kwa umma na kulaani kitendo cha utekaji wa kiongozi wa kata ya Ikungi anayejulikana kwa jina la Issa...
Kwa kinachotokea kwa Wamasai sasa sio UTU kabisa na nakumbuka mara kadhaa tulipokutana uliniambia kuhusu ndugu zako Wamasia unavyotaka kuona wakiheshimiwa kama watu wengine.
Leo hamna thamani...
Huwezi ukataka kushusha thamani ya mtu mwingine alafu tukakukalia kimya eti kwasababu ya cheo chako, hilo haliwezi kutokea. Na tutakuthibitishia kuwa haliwezi kutokea.
Nchi yetu imejengwa kwenye...
Ufisadi ambao ulikuwepo tukaufumbia macho umekuwa na umekuwa kwa kiasi kikubwa sana mpaka mamlaka ambazo unategemea zitakuwa mbele kukemea na kuchukua maamuzi sahihi juu ya haya mambo zinakaa...
Tumefuata utaratibu wote katika harakati za kupambania haki yako kabla ya kutekwa mara ya mwisho kabisa, ila kila mamlaka ilikuwa inatuona kama tunacheza, sisi hatuna thamani, uhai wetu hauna...
Mambo lazima yagome, huwezi kufanya huu ujinga na tukaulelea hakuna hiyo namna.
Sasa hivi wananchi wa Tanzania wamekosa wawikilishi kabisa kwasababu raisi achallengiwi wenye chochote kila Waziri...
Mambo mengine mtaelewa siku zijazo ila kama nilivyowaambia kwenye nyuzi zilizopita, familia ya Ali Kibao,Shedrack Chaula, Mdude Nyagali, Soka, vijana wa bodaboda waliopotezwa na kila mtu ambaye...
Hili nililiona kwa yule Chonchori nikashangazwa zaidi mpaka wenyewe wanaogopa hili genge alafu wanataka kutuaminisha hiyo ni amani mko sawa nyie???
Mzee haki yako pia itapiganiwa na sisi raia...
Watu wengi walijua uteuzi mkuu utafanyika tena kipindi hiki na ushindani ungeishia ndani ya chama pekee, huku kwenye kura iendelee kuwa kiini macho.
Pole mwanangu T, ulikuwa mpumbavu tu kwa kuwa...
Watu walinunua teuzi kwa mamilioni ya pesa kwa kuwa inaeleweka uchaguzi mkuu kwao ni ndani ya cham tu huku nje maigizo.
Wengine wakaamua kusaliti harakati za ukombozi na kugeuka machawa wa...