Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tunawashukuru CCM na wahuni wote kwa kutufikisha hapa. Naona dalili za uasi. Kuna watu wanasema wanahusika na vifo vya wanaCCM. Kabla ya mambo hayajaendelea kuharibika wauaji wa Watanzania tarehe...
20 Reactions
54 Replies
1K Views
Bila kuathiri mwenendo WA Kesi na bila Kujua , Mwendesha Mashtaka na shahidi wamekuja na mkakati wa kusema kwamba Shahidi-Polisi hajui kiingereza hivyo PGO alishindwa kuifuata inavyo taka. Sasa...
5 Reactions
11 Replies
347 Views
Wakuu, Haya ndugu zangu huyu shahidi yeye anasema CHADEMA ni IMANI kwa hiyo hana kitambulisho wala kielelezo chochote kuwa yeye ni mwanachama Hivi wameshindwa hata kutengeneza kitambulisho...
2 Reactions
6 Replies
300 Views
Utangulizi Mheshimiwa IGP Camilius Wambura, Huwa nafuatilia utendaji kazi wa Jeshi la Polisi siku hadi siku. Matamko yako yote huwa nayasikiliza na kuyachambua pia. Barua nyingi zinazoandikwa...
16 Reactions
22 Replies
914 Views
Uwe unazikubali au hauzikubali harakati zake za siasa bila shaka jambo moja ambalo wote tunakubaliana nalo kwa wanaompenda jacket kumchukuia Tundu Antipas Lissu ni ujasiri wake ulioptiliza...
56 Reactions
132 Replies
4K Views
Kutoka X by MD 1. Mashahidi wote waliperuzi simu zao Tarehe 04 April 2. Mashahidi wote walishawishika siku hiyo hiyo. 3. Mashahidi wote walikamatwa ila hawakufunguliwa kesi 4. Mashahidi wote...
11 Reactions
18 Replies
321 Views
Unajua nchi hii kwa hili: CC-Wasira vs Chadema-Heche! Je nchi inaenda wapi?? Kama wewe ni kijana ambao ni 80% wanamsikiliza mzee wasira ambaye alikuwa mkuu wa mkoa 1978 kwa uchawa wake au Heche...
0 Reactions
1 Replies
72 Views
Naangalia mahakama inavyofanya kazi zake, maamuzi zake, upindishaji wa sheria, uvunjaji wa katika wa wazi kabisa Naangalia jeshi linalopaswa kuilinda katiba kufa kupona. Naangalia lilivyolinda...
4 Reactions
8 Replies
186 Views
Msikilize hapa dharau, kejeli, masimango ya kiburi cha madaraka HARAMU
4 Reactions
5 Replies
206 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika Rais Samia Amefanyika Baraka na Neema katika Maisha ya watanzania. Amekuwa nuru na Mwanga katika Maisha ya Watu. Sijapata kuona Watanzania wakijenga Nyumba na...
1 Reactions
32 Replies
347 Views
Kama wamepewa maagizo, itabidi waandike wakubwa wanavyotaka ambayo itakuwa ni " maafa" kwa professionalism yao. Wafanyeje waepuke kadhia hii? Maana hakuna ushahidi, pale ni ujinga wa watu kula...
4 Reactions
10 Replies
187 Views
Wakuu, Huyu shahidi anasema mara tu baada ya kuangalia video ya Jambo TV kuhusu kauli ya Lisu kuwa atakinukisha, alifuatwa na Polisi na kukamatwa na kisha akapelekwa kwa RCO ambapo alipewa kosa...
1 Reactions
6 Replies
365 Views
Wapinzania wa kweli wameanza kwenye Chadema ACT wazalendo kitabaki Zanzibar tu! Uchungu wa madaraka ya haraka badala ya kupigania mifumo unaweza kudhani inasaidia chama kumbe ni bora uagalie...
2 Reactions
0 Replies
100 Views
Nchi kama Zambia, Malawi , Kenya, Botswana zimeona mbali sisi tumebaki na wizi wa kura na uchawa. Tupiganie nchi yetu Huyu ni Wakili wa Rais Duma Boko amewasili katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka...
5 Reactions
38 Replies
577 Views
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile (Mb), amesema ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya inayoendelea mkoani Kigoma, akibainisha kuwa uwekezaji huo una lengo...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na...
17 Reactions
108 Replies
6K Views
Alitaka wauawe wangapi ndipo aseme walitosha kuwa wengi. Kwa mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu hawezi tamka maneno kama hayo, ni mnyama pekee asiye na utu au hayawani au wakala wa shetani...
11 Reactions
28 Replies
655 Views
Bunge kama la Tanzania huwa na maana pale nchi inapokuwa ni ya kidemokrasia na mihimili mitatu ya utawala iko huru. Unapokuwa na mfumo wa utawala ambao serikali inaloamua ndilo linakuwa huku...
3 Reactions
7 Replies
196 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi pamoja na Rais Mstaafu wa 44 wa Taifa la Marekani kwa pamoja Wamlilia na wamesikitishwa kufuatia au kutokana na Kifo cha Jesse...
2 Reactions
76 Replies
927 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…