Mh.Hawa Ghasia wakati mchana huu umekuwa ukijifaragua kuwa utapita kiulaini na wengine watakuwa wasindikizaji tu unajidanganya. Sisi wapiga kura wako tumepania tukupige chini maana tumechoka na...
Mashahidi wanne ambao ni polisi, wametoa ushahidi katika mahakama ya mkoa wa Singida juzi, katika kesi inayowakabili vijana 9, watatu wakazi wa Dar.
Askari hao wametoa ushahidi mahakamani kuwa...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
HOTUBA YA MHESHIMIWA WAZIRI WA FEDHA, SAADA MKUYA SALUM (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI
KWA MWAKA...
Kwa siku za karibuni tumeshuhudia mambo haya yafuatayo ambayo haionyeshi afya kwa taifa hii ya Tanzania nazo ni;
Mapatano ya Rais na viongozi wa vyama vya kisiasa chini ya TCD...
Hii ni hali isiyopingika kwa sasa.
Tunaona dhahiri kuwa ujinga sasa umepiku umaskini na maradhi.Ujinga ni ugonjwa mkubwa unaoangamiza TAIFA kwa sasa haijalishi MTU amemaliza ELIMU ya...
Katika uandikishaji Wananchi kwenye daftari la kudumu la Wapiga Kura nimegundua jambo moja zito sana.
Nalo ni hili,iwe kwa ujanja ama kwa makusudi au kwa kutokujua CHAMA CHA MAPINDUZI kupitia hao...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahaman Kinana pamoja na msafara wake amesafiri umbali wa kilomita 1680 katika ziara yake ya siku sita Mkoa wa Geita.
Katika ziara hiyo...
Ni katika Safari ya matumaini...!!!
Tulidhania Singida record yake ya wadhamini elfu 22, isingevunjwa, ila Moshi wakavunja kwa wadhamini 33 elfu, siku moja baadae, rekodi ya Moshi ikavunjwa na...
Kanuni za chama ni kwamba kila mtia nia anatakiwa akamilishe idadi ya wadhamini wasiopungua 450 kwa kila mkoa atakaopita.
Sasa huyu naskia ni mama ambae kama amekurupuka vile kutamani kulala...
Wadau amani iwe kwenu.
Mchakamchaka wa makada wa CCM waliochukua fomu kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyiro cha Urais kwenye uchaguzi Mkuu...
Najua tupo katika zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa mfumo wa BVR.
Ni katika kipindi hiki au uchaguzi mkuu wa mwaka huu watu wamehamasika sana kuchagua nk. Watu wapo tayari...
Niko tayari, nimejiandaa, niko tayari kwa mapambano. Tume ya taifa kupitia zoezi la uandikishaji wa wapiga kura,hatimaye nimepata jambia la kuulia mtu. Hii ni silaha hatari sana kwa CCM.
Mwaka...
Unga Limited Arusha:Godbless Lema avamia katika kituo cha uandikishaji akidai sheria hazifuatwi.
Ni baada ya kumkuta Polisi akiandikisha majina ya watu.
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema)...
Aliyekuwa katibu mkuu wizara ya nishati David Jairo ametangaza kugombea ubunge jimbo la Iramba Magharibi. Jimbo hilo kwa sasa linaongozwa Mwigulu Nchemba aliyetia nia kwenye Urais.
Chanzo: WAPO...
Wasalaam wana jamvi!
Bila shaka mtakuwa mnajua fika zoezi ya uandikishaji wa wapiga kura kwenye daftari jipya linaendelea kwenye mikoa tofauti mwanza ukiwemo!
Nakumekuwa na kelele nyingi kuwa...
Nimewaona makada Wa chama John Magufuli na Wassira wamemaliza zoezi la kusaka wadhamini na kurejesha fomu.
Swali likanijinia kwanini Lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya...
Zaidi ya nusu ya watu waliotarajiwa kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura katika mfumo wa Biometric VotersRegistration -BVR, wilayani Arumeru lililomalizika leo hawakujiandikisha...
Wakuu ningependa kujua hivi first lady ni lazima awe mke halali wa ndoa ya kimkataba? Hilo jina lina masharti yeyote kwa anayelibeba? Je mchumba tu wa kawaida anaweza kuwa first lady? Wenye uelewa...
Ukweli utatuweka huru, leo kuna wanaCCM wanasema eti wanamuenzi baba wa Taifa, S Wassira alimkimbia Nyerere akaishi NCCR Mageuzi aliposikia tu kafariki akarudi. Kwanini Wassira alikuwa haelewani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.