Tuhuma za kuuawa kwa Mwakyembe na wenzake kwa IGP na Mwandishi wetu FEBRUARI 8, mwaka huu, Dk. Mwakyembe alizungumza na baadhi ya viongozi waandamizi wa Jeshi la Polisi makao makuu ya jeshi...
Na Mwandishi Wetu
Rostam Aziz aliyejiuzulu Ubunge wa Igunga mwaka 2011 kwa shinikizo kutokana na kashfa ya ufisadi, amerudi kwenye siasa kwa nguvu kubwa huku akiapa kuwa ni lazima ahakikishe...
Kauli maarufu ya "goli la mkono" iliotolewa na Nape Nnauye inaanza kuwagharimu CCM.
Viongozi wengi wa CCM waliopita kwenye kura za maoni wametumia "goli la mkono" hasa alieitoa hiyo kauli Nape...
Rais Jakaya Kikwete anapitisha Miswada iliyopitishwa na bunge hivi Karibuni. Hafla hiyo inafanyikia Ikulu ya Dar es Salaam. Mawaziri ambao wizara zao zinaguswa na hizo sheria pia wataongelea hizo...
Lowasa alitumia masaa 48 yaani siku mbili ikatangazwa kuwa kapata wadhamini milioni moja na laki sita.Si kweli ni uwongo.Kwanza tufikiri kuwa hiyo fomu ilikuwa ikisainiwa usiku na mchana watu...
Kama ilivyo ada,mgombea wa ukawa ameshachaguliwa na wajumbe jijini dar!,na sisi mashabiki na wapenzi wake tunataka kumwona maana ni haki yetu ya msingi kabisa katika uchaguzi huu.
Tumaini Makene...
Nimetafiti zaidi ya nchi tatu, mabara matatu kwa miongo mitatu ambapo.
Serikali zilizoundwa, kwa kupitia muungano wa vyama vya upinzani! Hazikufanya vizuri kwa sababu ya upinzani ndani ya...
Kaka zangu na wasomaji wote wa JF.
Taarifa nilizopata hivi punde zinasema kuwa kilichofanyika kwa Juma Duni Haji ni ulaghai wa kisiasa. Kwamba, Juma Duni Haji ameteuliwa kuwa Mgombea Mwenza bila...
Wadau, amani iwe kwenu.
Kumekuwa na minong'ono kila kona juu ya ujio wa Juma Duni Haji ndani ya CHADEMA. Minong'ono hii inakuja kutokana na kutofahamika nini kilijiri mpaka akateuliwa kuwa...
Nilisema kuwa mimi nitampa kura yangu Lowasa. Na naendelea kusema hivyo maana kwangu kura yangu sio siri. Wew mwenye siri na kura yako endelea kuifanya siri. Na pia nilisema japo kwa ufupi kwa...
Vikao vya CUF vimemalizika na wamekubalia kuwa CUF watatoa mgembea mwenza na CHADEMA watoe mgombea urais.
Juma Duni ndie atakaye kuwa mgombea mwenza kupitia CUF. Kutokana na CHADEMA kutoa...
Taarifa za uhakika kutoka kwa wale walioitwa "Makapi" na yule Msomali,mzee wa meno ya tembo zinasema kuwa hawatashiriki katika Operations za CCM za kumnadi Magufuli.
Chanzo ni cha uhakika na kama...
Wadau heshima kwenu,
Nitangulize kwa kusema kuwa mimi ni mdau wa ukawa na namini kuwa kwa tafiti zote zilizofanyika kabla ya uchaguzi huu kwa maana ya namba zinadhihirisha kuwa kwa ujio wa Mhe...
Watanzania Serikali ya CCM kwa Mara nyingine tena inatuthibitishia kuwa haina uwezo Wa kulinda Na kutunza Tembo wetu kwani shehena kubwa ya meno ya Tembo 800 imekamatwa.
Udhaifu au kuhusika kwa...
Ndugu wanajamvi zile zama Ccm kujinasibu kuwa wameshinda vitu 17 bila kupingwa majimboni mwaku huu pia yapo? Maana tulizoea kusikia upinzani chal ccm inawabunge ambao wananchi wao wameshawapitisha...
(Copy n paste from Whats app group)
Naandika waraka huu uwaendee makada na wafitini walioko CCM.
Wanatunga fitna kuwa CHADEMA ni chama cha ukabila na cha watu wa kaskazini...Huu ni upuuzi mtupu...
Mimi nmekulia ufipa zamani ufipa kulikuwa na maskani ya Ajax, ufipa p alikuwa hapatoshi, ufipa ilikuwa sehemu ya wapiganaji ambayo ma nguli wengi walitokea
Karibu sana El ufipa
Nilivyoangalia siasa za kijana huyu machachari zimenivutia sana,Nashawishika kusema japo bado ni kijana mdogo lakini anaiweza sana siasa! ameshakata rufaa baada ya kuangushwa na Zungu na kushika...
CHAMA CHA MAPINDUZI kitakapobadili sera yake ya Muungano wa Serikali Mbili, sera yake mpya itakuwa sera ya Muungano wa Serikali moja. Chama Cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili, na ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.