Salaam wana jamii.Naombeni ushauri tunawezaje kupata malipo ya bima baada ya kuumia katika ajali ya barabarani hapa dsm.sie tulikuwa katika basi, lilikuja loli lilioshehana pamba likagonga kwa nyuma basi letu na kuendelea kugonga magari mengine hadi matano.
ajali ilipimwa, vielelezo vyote vya magari yaliyohusika katika ajali vipo tayari na jarada lipo osterbay polisi tayari kupelekwa mahakamani , lile loli lililotugonga lilikuwa na comprehensive hai ya Jubilei insurance.Tajiri wa gari hataki kutujazia MOTOR ACCIDENT REPORT FORM, alipeleka polisi insurance cover note tu bila risiti. cha kushangaza katika mashtaka ya dereva wa loli limeongezwa kosa la kuendesha bila bima wakati sio kweli!.
1. Je wanajamii tulioathirika na ajali hiyo tunawezachukue hatua gani ?
2. Yawezekana kuna ufisadi kati ya mwenye gari na Jubilei insurance ili
tusilipwe haki zetu.je tunaweza kufanya nini ili haki itendeke.
3. Kama huyo mwenye loli lilisababisha ajali hataki na hataweza kujaza MOTO
ACCIDENT REPORT FORM , ni jinsi gani ya kumlazimisha mmiliki wa Jubilei
insurance aweze kutulipa Bima zetu pamoja na magari yaliyogogwa?
Asanteni kwa ushauri wa kawaida na kisheria kwani naona kuna harufu kali ya RUSHWA!
Lusyonja
ajali ilipimwa, vielelezo vyote vya magari yaliyohusika katika ajali vipo tayari na jarada lipo osterbay polisi tayari kupelekwa mahakamani , lile loli lililotugonga lilikuwa na comprehensive hai ya Jubilei insurance.Tajiri wa gari hataki kutujazia MOTOR ACCIDENT REPORT FORM, alipeleka polisi insurance cover note tu bila risiti. cha kushangaza katika mashtaka ya dereva wa loli limeongezwa kosa la kuendesha bila bima wakati sio kweli!.
1. Je wanajamii tulioathirika na ajali hiyo tunawezachukue hatua gani ?
2. Yawezekana kuna ufisadi kati ya mwenye gari na Jubilei insurance ili
tusilipwe haki zetu.je tunaweza kufanya nini ili haki itendeke.
3. Kama huyo mwenye loli lilisababisha ajali hataki na hataweza kujaza MOTO
ACCIDENT REPORT FORM , ni jinsi gani ya kumlazimisha mmiliki wa Jubilei
insurance aweze kutulipa Bima zetu pamoja na magari yaliyogogwa?
Asanteni kwa ushauri wa kawaida na kisheria kwani naona kuna harufu kali ya RUSHWA!
Lusyonja