Unapopoteza hukumu unafanyaje wakuu

Unapopoteza hukumu unafanyaje wakuu

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,674
Reaction score
37,852
Habari wote
Kuna dogo katoka kuchukua hukumu akapoteza maeneo ya Mbezi. Hukumu hii ilikuwa kumwondoa msimamizi wao wa mirathi.

Baada ya kupiga nkamwomba anipe mda nijee jukwaani kwan kuna procedure gani za kufanya. Baada ya kupotexa alimpigia hakimu akamwambia inabidiii arudi tena Mbeya......

Nikawaza ni lazima arudi yeye ama anawexa enda mtu anaemjua awakawasiliana na mh. Maana mh anasisitiza lazima aje yeye. Na kama kwenda inapelekwa lost report pekee ama kuna proud zingine....

Asallamaleykum..........
 
Hana chochote kitu ? Sio lazima hakimu aseme inabidi tu ajiongeze kukwepa usumbufu
 
Back
Top Bottom