Naomba msaada namna ya kusajiri ministry ya maombi na ushauri.

Gospel Preacher

JF-Expert Member
Jan 17, 2018
233
263
Habari zenu wanasheria, naomba msaada namna ya kusajili ministry, ya maombi na ushauri, tafadhari naomba msaada wataalam wa sheria nafahamu kwamba mnayajua haya sana.
Ni hatua gani zinatakiwa na ninasajilia wizarani au kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya? Na ni vitu gani vinatakiwa?

Karibuni ndugu zangu kunisaidia.
 
1) Wahusika wanatakiwa kuandaa katiba ya society wanaotaka kuanzisha, jina la hio society, principle office ya maombi na kutoa ushauri itakapokua, wasimamizi wa office hio ya maombi na ushauri (Secretary, Chairman, na Tresuary "muweka hazina" n.k). Na ielezee jinsi gani watakua wanaitisha vikao katika hio religious society yao.

2) Lazima kuwe na minutes za waanzilishi (kikao cha kuafikia kuanzisha hilo swala). Kuwe na viongozi wa hichi kikao na wapitishe makubaliano.

3) List ya founding members (waanzilishi). List hii iwe tofauti na minutes za kikao, na iorodheshe majina na sahihi zao.

4) Curriculum Vitae (CV) ya waanzilishi wa society hii ya dini pamoja na picha zao Passport size.

5) Letter Of Introduction (Barua ya organization yoyote ile wanaofanya kazi kama hio au kutoka kwa mkuu wa mkoa DC kukukubalia kufanya hio kazi).

6) Barua ya maombi kutoka kwa viongozi wa hizo kazi ambao wamesajiliwa kwa MSAJILI MKUU WA SEREKALI (Registrar)

7) Registration Fee utalipa.


Registration zinafanyika chini ya sheria ya CIVIL SOCIETIES ACT, (Chapter 337 R.E 2002) na katika Wizara Ya Mambo Ya Ndani (Kwa Kango Lugola). - Hapa usajili wa Makanisa, Misikiti, na maswala yoyote ya society za kidini na maombi.



Wasiliana na huyu mtu Money Penny au huyu Zero IQ wanaweza akakusaidia swala lako
 
1) Wahusika wanatakiwa kuandaa katiba ya society wanaotaka kuanzisha, jina la hio society, principle office ya maombi na kutoa ushauri itakapokua, wasimamizi wa office hio ya maombi na ushauri (Secretary, Chairman, na Tresuary "muweka hazina" n.k). Na ielezee jinsi gani watakua wanaitisha vikao katika hio religious society yao.

2) Lazima kuwe na minutes za waanzilishi (kikao cha kuafikia kuanzisha hilo swala). Kuwe na viongozi wa hichi kikao na wapitishe makubaliano.

3) List ya founding members (waanzilishi). List hii iwe tofauti na minutes za kikao, na iorodheshe majina na sahihi zao.

4) Curriculum Vitae (CV) ya waanzilishi wa society hii ya dini pamoja na picha zao Passport size.

5) Letter Of Introduction (Barua ya organization yoyote ile wanaofanya kazi kama hio au kutoka kwa mkuu wa mkoa DC kukukubalia kufanya hio kazi).

6) Barua ya maombi kutoka kwa viongozi wa hizo kazi ambao wamesajiliwa kwa MSAJILI MKUU WA SEREKALI (Registrar)

7) Registration Fee utalipa.


Registration zinafanyika chini ya sheria ya CIVIL SOCIETIES ACT, (Chapter 337 R.E 2002) na katika Wizara Ya Mambo Ya Ndani (Kwa Kango Lugola). - Hapa usajili wa Makanisa, Misikiti, na maswala yoyote ya society za kidini na maombi.



Wasiliana na huyu mtu Money Penny au huyu Zero IQ wanaweza akakusaidia swala lako
Asante sana..
 
Back
Top Bottom