Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wanajanvi jana asubuhi nilikuwa nikifuatilia matangazo ya Channel 10, nikamuona bwana mkubwa wa nchi akiwapa pole wakiristu ambao makanisa yao yamechomwa moto na kuporwa, Moja ya vitu alivyosema...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kesi ya DECI imewagusa Wachache huku Wahusika Kamili kutoka Serikalini wameachwa na Viongozi wa dini wakiwemo maaskofu na Wachungaji waliohamasisha Watu kupitia TV na Radio zao wameachwa na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mahakama ya Wilaya ya Ilala, imefuta kesi ya madai iliyofunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga, dhidi ya mwandishi wa kitabu cha ‘Orodha ya Mafisadi wa Elimu’...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hivi wananchi kumiliki silaha ni sahihi? Wanazipataje na kwasheria ipi? nani alaumiwe zinapotumika kinyume na taratibu?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni kujua haki za raia wa Tanzania mwenye kutunukiwa u-diplomasia ktk jamii yake na ktk kimataifa pia. Mf. all wives and husbands of Tanzania judges are automatically ranked diplomats.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mastaa wa Bongo: Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo imempa ushindi msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, katika kesi ya kujadili upya umri wake. Akitangaza ushindi...
2 Reactions
77 Replies
22K Views
Jamani mshahara wa pongo ni sh ngapi?
0 Reactions
2 Replies
825 Views
Wananchi wa Nkasi wataka gongo ilihusiwe kikatiba Waionaje hii hoja? source mwananchi leo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanza mods naomba wanisamehe kwa kuweka hii mada jukwaa ambalo sio lake kule jukwaa la sheria sijui kesi ni nyingi mahakamani naweza post kitu kisipate hata majibu Anyway Nilikuwa naomba...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini, nilipata mtoto miaka 9 iliyopita bila kufunga ndoa na baba wa mtoto. miaka 5 baadae alifunga ndoa na mwanamke mwingine. lakini tangu nipate ujauzito matumizi ya mtoto yalitolewa kwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
salaam wana jamii naomba kujuwa kuhusu pesa ya kujiki,u wakati unapo ajiliwa,mimi nimeajiriwa hivi karibuni nataka kujuwa sheria inazungumziaje kuhusu haya malipo.nitalipwa pesa yote ya mwezi kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
rule of law ni suluhisho la matatizovyooooooooooooote
0 Reactions
1 Replies
912 Views
  • Closed
Mme wangu ni mwanasheria Jaji, lakini sipendi kuishi naye tena kwani kwa dogo dogo hashikiki. je, nitumie njia zipi kuvunja ndoa? Nina ushahidi mwingi sana wa msg nilizozikamata, pia zingine...
2 Reactions
75 Replies
7K Views
katika pita pita yangu nimekutana ni issue ya mahakimu wanafunzi (interns) wakiwa wanasikiliza Kessy na hata kuitolea maamuzi (hukumu) baada ya kuisikiliza. mawali ninayojiuliza bila majibu Je...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wiki ijayo tume ya katiba mpya itakuwa mtaani kwetu. Naomba wanajf mnambie ni mambo yapi yaondolewe kwenye katiba iliyopo na mambo yapi yawekwe kwenye katiba mpya. Naomba mchango wenu...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
wadau mimi kama mpenda amani,jana niliweka uzi hapa jamvini kuelezea matukio ya uchomaji moto mazizi ya nguruwe ambayo yameanza wiki 3 zilizopita.katika muendelezo wa matukio haya juzi makanisa...
0 Reactions
112 Replies
10K Views
Ni katika imeili yao waliyowatumia wanachama wao. Imeili ina walakini. Imeshazua gumzo mjini. Ni hii: Dear valued member, Please pass below information to your networks; The Council for Legal...
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Nigerian villagers sue Shell in landmark pollution case Enlarge PhotoReuters/Reuters - A view of the shore of the Atlantic ocean at Orobiri village,days after Royal Dutch Shell's Bonga...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Hi JF funs! I would like to get from those who know the following in respect to the above mentioned subject, 1..je kuna sheria ngapi zinazo govern uendeshaji kesi katika baraza hili hapa TZ? na ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Does anyone know if Tanzania has a law protecting whistleblowers?
1 Reactions
1 Replies
822 Views
Back
Top Bottom