Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Blenda ikitumika vizuri hudumu zaidi. Haya ni maelekezo kutoka kwenye manual: Soma kitabu/karatasi ya maelezo (user manual) juu ya namna sahihi ya kuitumia blenda yako husika Hakikisha jug imekaa...
3 Reactions
5 Replies
413 Views
Pika kande lako liive vizuri ,nunua maarage mazuri (mapya) ambayo hayajakaa dukani sana ambayo ni ya zamani yana rangi ya kahawi hayatakupa matokeo mazuri Ukishayapika yakiiva unga kawaida weka...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Tupunguze stress na hii Ugali na nyama choma pili pili kwa uwingi ivyo apo kimekosekana nini mtindi upo ongezea kingine
4 Reactions
2 Replies
391 Views
Je hapa una ongeza nini ili usiku wako uende vzr kuliko janaaa
3 Reactions
14 Replies
771 Views
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo. Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
19 Reactions
482 Replies
17K Views
Hell kwanza poleni na misuko suko ya uchaguzi mlio poteza wapendwa wenu poleni sana Hivi ndio viungo vyetu tulivyo tumia Weka sufuri jikoni mimi leo nilitamani tu kupikia jiko la mkaa so...
9 Reactions
69 Replies
2K Views
Hell Mliomba sana nipike kashata za nazi hizi hapa Kwanza kuna nazi yako vzr tu Ukisha maliza anza kuweka maji kwenye sufuria yako kisha weka sukari pamoja na vanila acha vichemke kiasi iwe...
8 Reactions
32 Replies
986 Views
Hakikisha una shiba vizuri welcom
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile. Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu. Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Mwachiluwi Karibuni wale wote wapenda mapishi mimi napenda sana kujifunza kila leo. Changamoto yangu maziwa situmii japo hata nikitumia huwa hayana madhara yoyote. Je naweza kutumia maji...
3 Reactions
22 Replies
689 Views
Jinsi ya kutengeneza maziwa ya mgando, msaada jamani..
0 Reactions
25 Replies
49K Views
Wasalaam, "I'm not saying I'm addicted to coffee, but I don't know what I'd do if I couldn't get my daily cup of caffeine" I've been up since the crack of dawn, YES! I'm an early bird, not...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
kuna mchongo nausikilizia apa wakuu
0 Reactions
1 Replies
220 Views
Hell Kwanza osha mchicha wako vizuri mimi nime tumia mchicha wa kungo’a kule kwetu tuna uita ivyo una kuwa na michanga mingi so uoshe vizuri kisha ukate au una weza usiukate kisha weka pembeni...
8 Reactions
66 Replies
2K Views
I hope mko vizuri Na mnaendelea na majukumu Leo tupike samaki wa nazi(fish curry) Mahitaji Samaki waliokaangwa Karoti,hoho,kitunguu maji 1,tangawizi,kitunguu swaumu punje chache,nyanya...
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Kwanza utaanda unga wako wa ngano kisha kitunguu na karoti kama una penda hoho uta weka, kitunguu kisage usikate na hoho saga kwenye vile vidude vinauvyo uzwa buku buku, baada ya hapo uta...
8 Reactions
19 Replies
686 Views
Hello Huu naona mdio chakula chepesi kupika kwa haraka na kitamu hasa pale unapo kuwa umeshikwa njaa na tumbo lina tetemeka Uta chukua ndizi zako mimi nimetumia mzuzu nikazimenya vzr kisha...
15 Reactions
159 Replies
2K Views
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa. Unit 1 kwa...
67 Reactions
268 Replies
30K Views
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie Mwanaume nimeamua kupika Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na...
8 Reactions
88 Replies
5K Views
Wachina ni mojawapo wa mbari inayosifika duniani kwa ubunifu wa vyakula na mapishi.. Lakini pia ni watu wanaokula chochote chenye uhai kinachoonekana kwa macho Kiwe aridhini Kiwe angani Kiwe...
13 Reactions
205 Replies
6K Views
Back
Top Bottom