Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hell Tupike chapati za mayai za kukanda Kwanza utaweka unga wako ulio chekechwa kwenye bakuri uta weka na blue band then chukua mayai yako yakologe pembeni kisha uweke pia the kanda kama huna...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Jana nikajitutumua nipike pilau eeh waah ni simple sana hakuna makolokolo mengi chap Kwa haraka Hivi ni viungo vyangu Kuna mchele nyamavitunguu vitatu vikibwa chumvi vitunguu saumu pamoja na...
12 Reactions
12 Replies
523 Views
Wazima wa afya? Natumain mmekula na kushiba Leo nawaletea pish ya dagaa na ugal chakula pendwa Cha waafrica Hivi ni viungo vyangu dagaa ambao ni wale wasio na mchanga wa kavu nimewakaanga...
16 Reactions
60 Replies
2K Views
Sasa tuandae pishi letu ili tuingie jikoni kupika chap kwa muda wa dakika 10 baada ya hapo, tunakula sotojo letu. Anza kwa kukata kata vichwa vya dagaa, wengine huwa mnaunga dagaa bila kukata...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiukweli najiuliza matajiri na wazungu wamewezaje kula matunda tu kama msosi wa jumla hasa usiku? Yaani eti anakula matunda tu analala! Nikaona isiwe ishu, acha name nijaribu. Saa 2 nikala...
39 Reactions
83 Replies
11K Views
Hello Kwanza zioshe vizuri sana karanga zako kisha weka chumvi ya kutosha, then una ziaacha kwa muda fulani ndio una weka jikoni kwa moto mdogo kama hivi Endelea kukologa pole pole mpka...
12 Reactions
39 Replies
1K Views
Jana usiku kuna mahali nimefika watu wanauza kitimoto na ndizi mzuzu ngumu sana(zisizo mbivu ambazo zimekaangwa). Hawana kitu kingine cha kulia kitimoto zaidi ya hizo ndizi mzuzu ngumu mbichi au...
8 Reactions
92 Replies
3K Views
Kwangu Mimi ni Veges Fruits Beef/chicken Cheese/Butter Milk Mayo/Jam Spices/sauce Eggs Bites Drinks What about you?
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Wapendwa, mambo vipi? Tuko hapa kibadilishana mawazo, maarifa, na kujulishana machimbo wanakouza Kitimoto 🐖🐷🐽 katika mikoa mbalimbali na wilaya zake
7 Reactions
116 Replies
4K Views
Nauliza tu. Nikiwa nakula kwa wiki angalau mara mbili hivi; kuna madhara yo yote naweza kupata? I can't believe this 👐
16 Reactions
110 Replies
3K Views
First-timers in Thailand are often drawn to the bustling and interesting night markets. The cooler air, bright lights, hint of a bargain, one-off crafts and the amount of budget-friendly...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Wasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani. Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
7 Reactions
110 Replies
4K Views
Hellow Tupike keki ya kawaida ya kula tu nyumbani kwa hamu tu na maandalizi yake ni yakawaida kabisa Kwanza tutaanza kuandaa vifaa vyetu Kisha tutaanza kuweka mayai matatu na kukoroga mpaka...
22 Reactions
106 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi wa kupika ntakua nashare baadhi ya mapishi tofauti tofauti: mapishi haya unaweza ongeza au kupunguza vitu kutokana na upendeleo wako (hivyo sifungamani na mtu yyt yule). 1. UPISHI...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, naomba msaada wenu. Natafuta pepeta (rice flakes) kwa ajili ya matumizi ya biashara ya vyakula. Nipo Mbeya lakini niko tayari kuagiza hata kutoka nje ya mkoa kama kuna wauzaji wa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
kitalembwa aliombaa hii Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi Kwanza nilimuwekea viungo Food color Tangawizi ya kusagwa na chumvi...
40 Reactions
179 Replies
6K Views
Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye...
23 Reactions
81 Replies
3K Views
Kama unapenda ubunifu wa mapishi mbalimbali ya mboga basi pitia huu uzi Unajua ufundi na ladha viko kwenye mboga na sio ugali au ubwamba?
9 Reactions
130 Replies
3K Views
Back
Top Bottom