Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Nilikua na hamu ya ndizi nyama hivyo kwa kua nalijua jiko nikapita zangu sokoni nikachukua mazaga kadhaa nikaingia jikoni😆 na nitawaelezea jinsi nilivyopika hatua kwa hatua MAHITAJI; Carry...
41 Reactions
168 Replies
4K Views
Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Andaa ngano mafuta na chumvi changanya kisha kanda kwa mda mrefu kiasi kwamba ngano ina legea yenyewe kisha tengeneza madonge yako kulingana na idadi yako unayo taka kisha anza kusukuma then...
14 Reactions
135 Replies
4K Views
Hell Leo tutengeneze ubuyu mzuri wa zanzibar ukiwa nyumbani kwako Hatua ya kwanza utaanda shila ambayo ina husisha maji na sukari maji yawe kidogo sukari iwe nyingi Kisha shila ikishakuwa...
15 Reactions
146 Replies
3K Views
Mwakata! Ughonile! Twambombo Leo nilikuwa na hamu ya pilau so nikasema nitafute nazi ili nipike pilau la nazi Kuanza nikaanza kukaanga nyama na mafuta kidogo tu uku nikiwa nime changanya na...
21 Reactions
237 Replies
5K Views
Hell Hii leo sikuchukua picha hatua zote kwasababu ya umeme kukatika siku nzima ila haikuwa sababu ya mimi kuzuiwa kuja kuwafundisha na hiki pia Hivi vitu una weza fanya nyumbani kwako ukiwa...
15 Reactions
107 Replies
2K Views
Hello Leo nilipata mwaliko kwa mshikaji wangu kufika pale njaa zikatushika nikamwambia chakula chepesi na cha haraka hapa ni ndizi so tupike ndizi yeye alitaka tupike pilau mimi nimefuliliza...
15 Reactions
85 Replies
3K Views
Leo siku ya Ijumaa niliamka nikiwa nina hamu ya kula kitu kichachu chachu japo sina 🦎 wala nini. Asubuhi huwa naamka na hii detox special kwa ajili ya kupunguza uzito. Imenipunguza toka huko...
27 Reactions
132 Replies
5K Views
12 Reactions
214 Replies
4K Views
Hello Najua mesoma sana thread za siasa now mnatakiwa kutuliza akili ikae sawa kidogo Tuanze mtindo uhu ni raisi na hauli mda wako kabisa Kwanza menya ndizi zako kisha kata style unayopenda...
15 Reactions
48 Replies
2K Views
Faida za kiafya za magimbi (Arrow root): Magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Karibu wakuu wangu! Wakurya, waarusha, wamasai, wagogo na experts wengine wa 🥩🥩🥩
9 Reactions
54 Replies
2K Views
Hellow mmesema nimetelekeza jukwaa haya twendee sasa na hii Andaa nyama yako na kata vipande vipande size unayotaka kata na kitunguu pia tangawizi na kitunguu swaum mimi sipendi kitunguu swaum...
10 Reactions
98 Replies
2K Views
Ugali ni Tanzania Sima ni Zambia Shima ni Zimbabwe Fufu ni nchi za afrika magharibi Bugali ni kwa wakongoman Twende moja kwa moja ugali ni chakula Changu pendwa kama ifuatavo Dona ambayo...
14 Reactions
69 Replies
2K Views
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu. Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi...
0 Reactions
13 Replies
550 Views
Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika...
14 Reactions
77 Replies
2K Views
Ugali ni chakula tunachokula kila siku, iwe ugali wa mahindi, wa mihogo, mtama au uwezo. Hiki ni chakula tunachokimudu watu wengi, hata ukikosa mboga nyanya, kitunguu, ndimu, pilipili na chumvi...
12 Reactions
122 Replies
51K Views
I hope mnaendelea vizuri leo nimewaletea prwans wengine tunaita dagaa kamba wa nazi watu wa pwani nafikiri mtakuwa mnaelewa utamu wa kamba Mahitaji Prawns 🦐 wabichi Nyanya moja ndogo...
24 Reactions
55 Replies
2K Views
Wakuu niaje? Natumai wote hamjambo. Hivi karibuni nimeanza kutayarisha maziwa mtindi kwa ajili ya biashara. Sasa kuna wakati maziwa haya yanawahi kuwa machachu. Je kuna preservative naweza...
0 Reactions
5 Replies
464 Views
#ICE_CREAM #JUICE #Kwa_mtaji_mdogo_tu. Anza leo biashara ya #Ice_Cream_&_Juice,kwa mtaji mdogo.Hadi elfu 20 tu,inatosha sana kuanza nayo kama mtaji. #Nakupa ofa ya Kitabu kitakacho kupa mafunzo...
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Back
Top Bottom