Nilikua na hamu ya ndizi nyama hivyo kwa kua nalijua jiko nikapita zangu sokoni nikachukua mazaga kadhaa nikaingia jikoni😆 na nitawaelezea jinsi nilivyopika hatua kwa hatua
MAHITAJI;
Carry...
Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu...
Andaa ngano mafuta na chumvi changanya kisha kanda kwa mda mrefu kiasi kwamba ngano ina legea yenyewe kisha tengeneza madonge yako kulingana na idadi yako unayo taka kisha anza kusukuma then...
Hell
Leo tutengeneze ubuyu mzuri wa zanzibar ukiwa nyumbani kwako
Hatua ya kwanza utaanda shila ambayo ina husisha maji na sukari maji yawe kidogo sukari iwe nyingi
Kisha shila ikishakuwa...
Mwakata! Ughonile! Twambombo
Leo nilikuwa na hamu ya pilau so nikasema nitafute nazi ili nipike pilau la nazi
Kuanza nikaanza kukaanga nyama na mafuta kidogo tu uku nikiwa nime changanya na...
Hell
Hii leo sikuchukua picha hatua zote kwasababu ya umeme kukatika siku nzima ila haikuwa sababu ya mimi kuzuiwa kuja kuwafundisha na hiki pia
Hivi vitu una weza fanya nyumbani kwako ukiwa...
Hello
Leo nilipata mwaliko kwa mshikaji wangu kufika pale njaa zikatushika nikamwambia chakula chepesi na cha haraka hapa ni ndizi so tupike ndizi yeye alitaka tupike pilau mimi nimefuliliza...
Leo siku ya Ijumaa niliamka nikiwa nina hamu ya kula kitu kichachu chachu japo sina 🦎 wala nini.
Asubuhi huwa naamka na hii detox special kwa ajili ya kupunguza uzito.
Imenipunguza toka huko...
Hello
Najua mesoma sana thread za siasa now mnatakiwa kutuliza akili ikae sawa kidogo
Tuanze mtindo uhu ni raisi na hauli mda wako kabisa
Kwanza menya ndizi zako kisha kata style unayopenda...
Faida za kiafya za magimbi (Arrow root):
Magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati...
Hellow mmesema nimetelekeza jukwaa haya twendee sasa na hii
Andaa nyama yako na kata vipande vipande size unayotaka kata na kitunguu pia tangawizi na kitunguu swaum mimi sipendi kitunguu swaum...
Ugali ni Tanzania
Sima ni Zambia
Shima ni Zimbabwe
Fufu ni nchi za afrika magharibi
Bugali ni kwa wakongoman
Twende moja kwa moja ugali ni chakula Changu pendwa kama ifuatavo
Dona ambayo...
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.
Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi...
Wakuu, hili suala la kupikapika kuna members humu wanaudharau UGALI kwamba ni chakula cha mifugo km Nguruwe na Mbwa ila nyuma ya Pazia ukiangalia unagundua ni watu ambao UGALI hawajui kuupika...
Ugali ni chakula tunachokula kila siku, iwe ugali wa mahindi, wa mihogo, mtama au uwezo. Hiki ni chakula tunachokimudu watu wengi, hata ukikosa mboga nyanya, kitunguu, ndimu, pilipili na chumvi...
I hope mnaendelea vizuri leo nimewaletea prwans wengine tunaita dagaa kamba wa nazi watu wa pwani nafikiri mtakuwa mnaelewa utamu wa kamba
Mahitaji
Prawns 🦐 wabichi
Nyanya moja ndogo...
Wakuu niaje? Natumai wote hamjambo.
Hivi karibuni nimeanza kutayarisha maziwa mtindi kwa ajili ya biashara.
Sasa kuna wakati maziwa haya yanawahi kuwa machachu. Je kuna preservative naweza...
#ICE_CREAM #JUICE #Kwa_mtaji_mdogo_tu.
Anza leo biashara ya #Ice_Cream_&_Juice,kwa mtaji mdogo.Hadi elfu 20 tu,inatosha sana kuanza nayo kama mtaji.
#Nakupa ofa ya Kitabu kitakacho kupa mafunzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.