Ukitoa kufuata Mkumbo, Kutumia umeme kupika ni nafuu kuliko Gas na mkaa

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
455
1,283
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.

Unit 1 kwa sasa ni kama sh 357 hivi na ukiwa na sh 5000 unapata unit 14, je unit 14 kama ni kupika pekee unaweza pikia kwa siku ngapi?

Shida inakuja pale ambapo unakuta matumizi ya umeme ni mengi sana, Kupasi, taa, Radio, TV, fridge na mashine zingine za jikoni plus jiko la umeme na hapa sasa jiko la umeme huangushiwa lawama zote za kutumia umeme mwingi.

Na pia wengi hatujui kuna sufuria special za kutumiwa kwenye jiko la umeme na kuna za kutumiwa kwenye jiko la gas, sisi ni kanyaga twende hapo ndio shida inapoanzia.

Ila kama una line special ya jiko pekee utagundua kwamba kutumia jiko la umeme ni nafuuu kuliko gas.

Njoo pia umeme wa sh 1500 unaweza ivisha chakula na unit zikabakia, ila huwezi pata hata mkaaa wa sh 1500 wala gas ya sh 1500

Watu hawajakaa chini wakapiga hesabu na ndio maana nyumba za Wazungu wengi hata hapa Bongo wanapikia sana Umeme kuliko gas.
 
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.
Nilitegemea ungeweka hesabu. Kama ulivyojisemea kuwa watu wengi linapokuja suala la namba wengi ni wavivu, WALLAH HAO WAVIVU NI PAMOJA NA WEWE..!!
Twende kazi..!!
1. Hilo jiko/cooker plate ni ya kilowati ngapi?
2. Unajua calorific value ya gesi?
3. Unapolinganisha gesi na umeme, unatumia vigezo gani?
 
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.

Unit 1 kwa sasa ni kama sh 357 hivi na ukiwa na sh 5000 unapata unit 14, je unit 14 kama ni kupika pekee unaweza pikia kwa siku ngapi?

Shida inakuja pale ambapo unakuta matumizi ya umeme ni mengi sana, Kupasi, taa, Radio, TV, fridge na mashine zingine za jikoni plus jiko la umeme na hapa sasa jiko la umeme huangushiwa lawama zote za kutumia umeme mwingi.

Na pia wengi hatujui kuna sufuria specia za kutumiwa kwenye jiko la umeme na kuna za kutumiwa kwenye jiko la gas, sisi ni kanyaga twende hapo ndio shida inapo anzia.

Ila kama una line specia ya jiko pekee utagundua kwamba kutumia jiko la umeme ni nafuuu kuliko gas.

Njoo pia umeme wa sh 1500 unaweza ivisha chakula na unit zikabakia, ila huwezi pata hata mkaaa wa sh 1500 wala gas ya sh 1500\

Watu hawajakaa chini wakapiga hesabu na ndio maana nyumba za Wazungu wengi hata hapa Bongo wanapikia sana Umeme kuliko gas.
Mbona Mimi buku na unit 8.1?
 
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.

Unit 1 kwa sasa ni kama sh 357 hivi na ukiwa na sh 5000 unapata unit 14, je unit 14 kama ni kupika pekee unaweza pikia kwa siku ngapi?

Shida inakuja pale ambapo unakuta matumizi ya umeme ni mengi sana, Kupasi, taa, Radio, TV, fridge na mashine zingine za jikoni plus jiko la umeme na hapa sasa jiko la umeme huangushiwa lawama zote za kutumia umeme mwingi.

Na pia wengi hatujui kuna sufuria specia za kutumiwa kwenye jiko la umeme na kuna za kutumiwa kwenye jiko la gas, sisi ni kanyaga twende hapo ndio shida inapo anzia.

Ila kama una line specia ya jiko pekee utagundua kwamba kutumia jiko la umeme ni nafuuu kuliko gas.

Njoo pia umeme wa sh 1500 unaweza ivisha chakula na unit zikabakia, ila huwezi pata hata mkaaa wa sh 1500 wala gas ya sh 1500\

Watu hawajakaa chini wakapiga hesabu na ndio maana nyumba za Wazungu wengi hata hapa Bongo wanapikia sana Umeme kuliko gas.
Changamoto ya umeme kukatika hovyo unaisemaje boss mana kuna wakati utahitaji upike umeme hakuna
 
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.

Unit 1 kwa sasa ni kama sh 357 hivi na ukiwa na sh 5000 unapata unit 14, je unit 14 kama ni kupika pekee unaweza pikia kwa siku ngapi?

Shida inakuja pale ambapo unakuta matumizi ya umeme ni mengi sana, Kupasi, taa, Radio, TV, fridge na mashine zingine za jikoni plus jiko la umeme na hapa sasa jiko la umeme huangushiwa lawama zote za kutumia umeme mwingi.

Na pia wengi hatujui kuna sufuria specia za kutumiwa kwenye jiko la umeme na kuna za kutumiwa kwenye jiko la gas, sisi ni kanyaga twende hapo ndio shida inapo anzia.

Ila kama una line specia ya jiko pekee utagundua kwamba kutumia jiko la umeme ni nafuuu kuliko gas.

Njoo pia umeme wa sh 1500 unaweza ivisha chakula na unit zikabakia, ila huwezi pata hata mkaaa wa sh 1500 wala gas ya sh 1500\

Watu hawajakaa chini wakapiga hesabu na ndio maana nyumba za Wazungu wengi hata hapa Bongo wanapikia sana Umeme kuliko gas.
Hakuna mkaa wa 1500?? Unaishi Tanzania?

Mkoani mkaa wa sh 1500 ni mfuko mzima. Umegeneralize watu wote wanaishi Dar.

Mimi nimeishi kibachelor na nilikuwa na jiko la umeme na gas. Wala nisiwe muongo umeme kupikia ni ghali kuliko gas.

Hii haihitaji mjadala sana ni mtu kuamua tu halafu matokeo atayapata. Anza leo kutumia umeme, majibu utayapata.
 
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.

Unit 1 kwa sasa ni kama sh 357 hivi na ukiwa na sh 5000 unapata unit 14, je unit 14 kama ni kupika pekee unaweza pikia kwa siku ngapi?

Shida inakuja pale ambapo unakuta matumizi ya umeme ni mengi sana, Kupasi, taa, Radio, TV, fridge na mashine zingine za jikoni plus jiko la umeme na hapa sasa jiko la umeme huangushiwa lawama zote za kutumia umeme mwingi.

Na pia wengi hatujui kuna sufuria specia za kutumiwa kwenye jiko la umeme na kuna za kutumiwa kwenye jiko la gas, sisi ni kanyaga twende hapo ndio shida inapo anzia.

Ila kama una line specia ya jiko pekee utagundua kwamba kutumia jiko la umeme ni nafuuu kuliko gas.

Njoo pia umeme wa sh 1500 unaweza ivisha chakula na unit zikabakia, ila huwezi pata hata mkaaa wa sh 1500 wala gas ya sh 1500\

Watu hawajakaa chini wakapiga hesabu na ndio maana nyumba za Wazungu wengi hata hapa Bongo wanapikia sana Umeme kuliko gas.
Wapi huko hupati mkaa wa 1500
 
Back
Top Bottom