Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kama unapenda ubunifu wa mapishi mbalimbali ya mboga basi pitia huu uzi Unajua ufundi na ladha viko kwenye mboga na sio ugali au ubwamba?
9 Reactions
130 Replies
3K Views
Hellow simba pole leo mlikuwa mnakomaa kiume na tumejua kuwa bila marefa hamtoboi 😂 Turudi class Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu...
12 Reactions
40 Replies
2K Views
Hell Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi Then nilitenga supu ile ya kwanza...
12 Reactions
118 Replies
4K Views
Wataalam wa samaki wa baharini, naomba kujua ni samaki gani wa baharini ni mzuri kwa kupika supu.. Aksante.
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Siko hapa kumbeza yeyote, ila kuna kitu mimi binafsi kimenishinda kabisa katika maisha yangu. Huwa naona na kusikia watu wanasifu kiporo cha wali maharage au wali kisamvu na chai ya maziwa eti ni...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Maandalizi na Mapishi ya Nyama ya Panya na Kenge. Ukishaonja nyama ya panya huachi. Kenge ndo mtamu balaa Mdau hapa kaweka video hatua kwa hatua ya Uandaaji wa nyama ya Kenye hadi jinsi ya kumla
1 Reactions
1 Replies
511 Views
Hello Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku...
29 Reactions
239 Replies
8K Views
Kitimoto Rosti Diet💦🙆🏽‍♂️🇹🇿 Nipo viwanja sisi hatunaga weekend 😂😂😂🔥 Anastasia21
14 Reactions
63 Replies
3K Views
Leo tupike birian nzuri twende pamoja sito fundisha tena hii Kwanza kaanga vitunguu vyako vizuri tu viwe golden blown ndii uvitoe uweke pembeni viji chujee mafuta mimi nime tumia vitunguu kilo 2...
9 Reactions
56 Replies
2K Views
jamani mi na mme wangu tunapenda sana kupika, na kila weekend hupenda kujaribu recipe mpya. last sunday tulipika eggplant parmersan. ni chakula kizuri sana na kina virutubisho vya kutosha...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Biriani Ya Kuku Wa Kuchoma Wa Tanduri Vipimo Mchele.................. 4 vikombe Kuku.................. 1 Vitunguu.................. 3 Nyanya/tungule.................. 4 Zabibu...
11 Reactions
20 Replies
9K Views
mahitaji 1. Nazi 2. Punje kadhaa za vitunguu swaumu kadri upendavyo 3. Karoti 4. Corriender leaves 5. Pilipili 6. Ndimu /limao 7. Maji kiasi kuna nazi, grate karoti, menya swaumu ...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Pweza wanaouzwa mtaani mara nyingi huandaliwa kwa njia za kiasili, ambazo ni rahisi na zinazojulikana katika maeneo mengi ya pwani ya Afrika Mashariki, hasa Tanzania. Kwa kawaida, hawa pweza...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello 👋,. Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,.. Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari Kwenye kikombe chako...
12 Reactions
129 Replies
3K Views
Basi bna inatokea jikoni Kuna chombo kinakuwa kimechooka ila hakitupwi na sio kwamba hakuna kingine basi tu Mimi hiki kimwiko nakipenda sana nisipokipikia naona kama chakula sio
6 Reactions
46 Replies
12K Views
I hope mko poa Wale wasiotumia nyama nyekundu na wapenz wa samaki pitien hapa Sikunyingine tujifunze kupika pilau la samaki 😀😀 Mahitaji Samaki Mchele Unga wa pilau/pilau masala Binzari...
29 Reactions
88 Replies
5K Views
Sitawafunza kila kitu lakni hizi tambi zinapendwa na kila MTU wew mama wa nyumbani ukipika tambi za dengu ukapakia kwenye vifungashio utapata faida kwa hiyo pesa ya mahitaj madogo madogo inaweza...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
The Way to a Man's Heart is Through His Stomach! Hii ni methali ya kizungu haipo kwenye methali za wahenga wetu wa kiswahili ila ina make sense hata huku kwetu uswazi. Ni aibu wanawake wengi...
33 Reactions
148 Replies
21K Views
Leo nimeamka asubuhi nikaona nitoe kitu geto kama Mwachiluwi Nilienda dukani kununua mahitaji na mengine yalikuwepo ndani Nikachemsha nyama wakati inaiva nikaandaa viungo kama vinavyoonekana...
44 Reactions
104 Replies
4K Views
Back
Top Bottom