Tupike mlo wa haraka mchesho wa ndizi na samaki

Tupike mlo wa haraka mchesho wa ndizi na samaki

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,913
Reaction score
67,435
Hello

Huu naona mdio chakula chepesi kupika kwa haraka na kitamu hasa pale unapo kuwa umeshikwa njaa na tumbo lina tetemeka

Uta chukua ndizi zako mimi nimetumia mzuzu nikazimenya vzr kisha nika ziweka jikoni zikichemka baada ya mda nika weka samaki vichemke kwasbabu samaki achelewi kuiva so nilikuweka mwishoni ili asiolojeke

Niachukua na simba mbili nikaweka siku taka viungo vingi kabisa
1760437187579.jpeg

Na nazi ya azam niliweka baada ya kuona ndizi zimeiva pamoja na samaki so nikaweka nazi na pilipili ya unga kidogo sana
1760437325918.jpeg
End of the day nimeonja chakula kitamu sana hapa nipo na kula na juice ya matunda embe na machungwa
1760437404018.jpeg

Actually nahisi kushiba sana leo si fikirii kama usiku nitakula tena

Jaribu na wewe utupe mrejesho
 
Hello

Huu naona mdio chakula chepesi kupika kwa haraka na kitamu hasa pale unapo kuwa umeshikwa njaa na tumbo lina tetemeka

Uta chukua ndizi zako mimi nimetumia mzuzu nikazimenya vzr kisha nika ziweka jikoni zikichemka baada ya mda nika weka samaki vichemke kwasbabu samaki achelewi kuiva so nilikuweka mwishoni ili asiolojeke

Niachukua na simba mbili nikaweka siku taka viungo vingi kabisa
View attachment 3488442
Na nazi ya azam niliweka baada ya kuona ndizi zimeiva pamoja na samaki so nikaweka nazi na pilipili ya unga kidogo sana
View attachment 3488443End of the day nimeonja chakula kitamu sana hapa nipo na kula na juice ya matunda embe na machungwa
View attachment 3488444
Actually nahisi kushiba sana leo si fikirii kama usiku nitakula tena

Jaribu na wewe utupe mrejesho
Looks yummy 😋 ni samaki gani huyu?
 
Back
Top Bottom