Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wakuu napenda kupata hata ka ujuzi kwenye ukangaji wa vibanzi yaani chipsi. Naomba kujua ya fuatayo:- 1. Kiloba cha ndoo 4 kinauwezo wa kutoa sahani ngapi za vibanzi(chipsi). (Hata kama unajua...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kama kichwa cha habari kinavyoeleza naombeni msaada wenu kwa wenye uelewa na hili.
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Mahitaji: 1- Bamia kilo 1 2- Nyanya 2 3- Nsusa 4- Ntwili 5- Kitunguu 1 6- Magadi Namna ya kupika katakata bamia nyanya na vitunguu vichemshe huku unachanganya na magadi baada ya hapo weka ntwili...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapishi wa humu nawasalimu. Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu. Ishu sasa...
2 Reactions
66 Replies
7K Views
Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kariakoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
1 Reactions
61 Replies
16K Views
Wasalaam, Mimi bwana huwa napikia wali kwenye Rice Cooker lakini juzi nimeenda kumtembelea dada moja ni Mzenji wali wake kwenye mkaa na wakati unapikwa nikasikia harufu ile nzuri nzuri kabisa. Na...
15 Reactions
152 Replies
26K Views
Habari marafiki zangu wapendwa? Mimi naomba kujua jinsi nitakavyopika ugali wa mahindi, pia mboga zinazofaa (kama vile mchuzi wa nyama au biringani za kukaanga). Mimi ni mpishi mpya, lakini...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Nataka kuchoma nyama kwa ajili ya Familia lakin sijui pa kuanzia. Nadhan nikipata majibu ya maswali yangu ntajua cha kufanya. A). Sehemu gani ya nyama ya ng'ombe ni tamu kwa kuichoma? Ili...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Nahitaji kuaandaa huo msosi, maelekezo tafadhali, na kipi niongeze humo ndani kunogesha pilau langu. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Friji hutumika kuhifadhi vyakula vya aina mbalimbali ili visiharibike mapema. Friji ikitumiwa vyema husaidia sana katika uhifadhi wa vyakula lakini isipotumiwa vizuri huweza kusababisha hasara na...
12 Reactions
31 Replies
22K Views
Luwaki Coffee; Hii ni kahawa pendwa zaidi unapata ile radha haswaa ya kahawa. Hutumika zaidi nchi za baridi na restaurant kubwa, Wapenzi wa kahawa tafuteni hii ndio kahawa bora zaidi duniani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAMBO 10 YA KUZINGATIA KATIKA USAFI WA JIKO LAKO. 1. Hakikisha unasafisha jiko lako mara kwa mara kabla na kila baada ya kumaliza kupika. Usafi uwe wakina,futa sehemu zote kutoa vumbi na wakati...
5 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine?
2 Reactions
18 Replies
4K Views
KiTiMoTo, na Ijumaa hii, upate alafu isikauke sana kuwe na ugali fulani unga wa kuloweka, kama itawezekana upate na maziwa mgando yasiwe makali sana, then kwa kuwa inajitegemea mafuta basi ukipata...
16 Reactions
33 Replies
9K Views
Habari ya leo wapenda kula mapocho pocho wenzangu. Hivi kati ya kiporo cha wali na maharage/ wali ndondo na kiporo cha wali kisamvu (cha nazi au karanga) kipi kitamu? Yaani nimeona niulize...
15 Reactions
153 Replies
66K Views
Wakuu. Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula...
12 Reactions
119 Replies
65K Views
Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naomba mwenye kujua namna ya kupika mbege anielekeze tafadhari
2 Reactions
18 Replies
8K Views
Ndugu zangu wenyeji wa Dar, ivh ni sehemu gani nzuri ambayo wanauza vyakula vitamu vitam kipenzi cha wengi. Sometimes mm naona ni vzur kubadili mazingira. Bei haijalishi
1 Reactions
137 Replies
39K Views
Habari zenu? Muda huu nmejikuta nakumbuka chakula cha kijijini kwetu. Mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Singida na nikiendaga kwetu napikiwa ugali wa mtama mweupe, "nsans'a" hii ni majani ya kunde...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Back
Top Bottom