kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,557
- 2,626
Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kariakoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
Yanadumu sn, tatzo matumizi ya umeme
Demu mtumba ndiyo yupoje naona inafikirisha.Wabongo punguzeni matatizo bwana,nguo mtumba,gari mtumba,dem mtumba yan hata fridge mtumba?
Tubadilike vitu vipya vinanoga sana ujue.
Asie na bikiraDemu mtumba ndiyo yupoje naona inafikirisha.
Freezer kwa matumizi ya home Dah sijawahi kuonaUkijaaliwa uwezo nunua freezer hata na friji iliyokua mpya, zinadumu zaidi. Na pia kwenye ulaji wa umeme freezer na fridge new designs ndio zenye ulaji mzuri wa umeme yaani energy saving.
Hivi mtumba unahifadhi ubaridi nao?Kwa Ushauri nunua Friji Mpya tena zenye Invetor hizi kwa mwaka mmoja zinatumia umeme wa kuanzia 180,000 mpaka laki tatu tu. na nyingi zimeandikwa units za umeme inazokula kwa mwaka ni kiasi gani na pia nyingi zinahifadhi ubaridi hadi masaa 8 mfano Samsung.
mitumba mingi ni ya aina ya zamani ambapo Compresor zake zinabugia umeme mwingi sana,pia nyingi pipe zake zimesha choka maana ni za zaidi ya miaka 15 na zaidi.so tegemea kuharibika mara kwa mara.
Hivi mtumba unahifadhi ubaridi nao?Kwa Ushauri nunua Friji Mpya tena zenye Invetor hizi kwa mwaka mmoja zinatumia umeme wa kuanzia 180,000 mpaka laki tatu tu. na nyingi zimeandikwa units za umeme inazokula kwa mwaka ni kiasi gani na pia nyingi zinahifadhi ubaridi hadi masaa 8 mfano Samsung.
mitumba mingi ni ya aina ya zamani ambapo Compresor zake zinabugia umeme mwingi sana,pia nyingi pipe zake zimesha choka maana ni za zaidi ya miaka 15 na zaidi.so tegemea kuharibika mara kwa mara.
Kuna zile ruber zenye usumaku uwa pia zimechoka, mitumba ni shidaHivi mtumba unahifadhi ubaridi nao?
Maana yake kwamba hakuna wanaotumia freezer kwa matumizi ya nyumbani? Ama unamaanishaje?Freezer kwa matumizi ya home Dah sijawahi kuona
Wapo ila naona linagandisha sanaMaana yake kwamba hakuna wanaotumia freezer kwa matumizi ya nyumbani? Ama unamaanishaje?
Bongo vitu ving vipya ni fake ukitaka kitu kipya ni hela nying sanaa na vina patikana kwenye maduka makubwakuna ndugu yangu mmoja yuko dar,yeye kila kitu mtumba,eti anaamini ndio imara,kwanini usinunue ileile aina ikiwa mpya?,hana sababu ya maana sana nikagundua ni jambo alikariri;
Ina maana hizo boss,homebase na Mr UK ni fakeBongo vitu ving vipya ni fake ukitaka kitu kipya ni hela nying sanaa na vina patikana kwenye maduka makubwa
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app