Habari zenu wanajiko.
Leo ningependa tushee mambo yanayotutokea jikoni, yale ya vituko vituko.
Mie mengi yamewahi kunikuta lkn ntaweka machache tu.
Kuna siku mama yangu aliniwachia niangalie...
Habari wakuu.
Naomba kufahamu zaidi juu ya hili jiko la kupikia. Nipo Mwanza naweza kulipata wapi? Kampuni gani nzuri? Wenye uzoefu wa kulitumia vipi lipo vzuri? Nini hasara zake? Bei yake ipoje...
SHURBA
Mahitaji
Ngano nzima nusu
Nyama kg1
Tungule 1kubwa
Kitunguu maji 1
Somu na tanga wizi kijiko 1cha mezani.
Pili pili boga1
Pilipili manga kijiko kidogo
Uzile au bizari nyembamba kijiko...
Binafsi napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagiza kichwa maana bila ya kula jicho sijajickia kama nimekula.
Lakini pia kama hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama...
Habari wana jukwaa,
Kama mada inavyojieleza. Ni ipi ladha ya juisi huwezi kuichoka hata unywe mara nyingi.
Kwa upande wangu mchanganyiko wa nanasi, parachichi na pasheni. Kwa kweli napenda sana...
Njia hizi zitakurahisishia usafi jikoni na kuweka jiko lako safi bila bacteria
1. Tumia chumvi na ndim kusafisha ubao wa mbao wa kukatia vitu jikoni. Mwagia chumvi kwenye ubao halafu sugua na...
JF,
Nafikiri na nyie mtakuwa mmegundua hili.
Wapishi katika mahoteli makubwa wengi ni wanaume.
Hasa hasa hoteli zenye hadhi ya nyota tano lakini hata zile za hadhi ndogo.
Sijajua sababu au ni...
Wakuu habari za weekend,
Naomba msaada wa haraka wa namna ya kupata mboga hizi na ikibidi mbegu zake. Na je, nikienda sokoni niziulize kwa majina yapi, maana nimeelekezwa na mtu ambaye si...
Ukiachana na ile chopping board iliyopata mrejesho hasi.
Pia Kuna kifaa hua natumia Sana..kwa jiko langu...nacho Ni MBUZI..
sijui mbuzi kwa English inaitwaje.
Je, Wewe kitaa gani unatumia zaidi...
Bia ni kifungua kinywa bora, siri moja ya kifungua kinywa hiki ni kunywa beer moja tu. Wengi wanaharibu hapa kutaka ya pili na ya tatu. Ukishaongeza ya pili umevunja mwiko.
Unaweza kushushia na...
Habari wapendwa wa JamiiForums.
Naomba mwenye elimu ya kutengeneza barafu na juice ya matunda mchanganyo wa nanasi ndizi na parachichi aweze kunisaidia, email yangu ni yasinijawadu@gmail.com...
Habarini za saa hizi wandugu?
Leo nilienda kununua nyama ya ng'ombe buchani yapata robo kilo kutokana na mlaji niko peke yangu getto. Maajabu ni kuwa nilianza kuchemsha kwa jiko la gas mida ya...
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO
1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi...
Nimechoka kula wali ugali ndizi tambi nk nimeamua kujaribu vyakula vipya kabisa vitakavyonipa ladha mpya. Nimeanza na majongoo Yale makubwa meusi. Nitayala kwa mfumo wa kuyakaanga kwenye mafuta...
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kunywa chai ya kuunguza sukari kama majani ya chai tukutane hapa.
Chai ile ilikuwa inatengenezwa kwa kuchukua Sukari unaiweka kwenye sufuria iliyopo motoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.