Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habari zenu wanajiko. Leo ningependa tushee mambo yanayotutokea jikoni, yale ya vituko vituko. Mie mengi yamewahi kunikuta lkn ntaweka machache tu. Kuna siku mama yangu aliniwachia niangalie...
14 Reactions
188 Replies
27K Views
Natumai hamjambo wapishi, Bahati mbaya kwenye mapishi ipo unajikuta umeunguza msosi, mimi ilishawahi nitokea kuunguza nyama mpaka tukaimwaga maana ilikua chungu. Nikachezea fimbo za kitosha...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu. Naomba kufahamu zaidi juu ya hili jiko la kupikia. Nipo Mwanza naweza kulipata wapi? Kampuni gani nzuri? Wenye uzoefu wa kulitumia vipi lipo vzuri? Nini hasara zake? Bei yake ipoje...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
SHURBA Mahitaji Ngano nzima nusu Nyama kg1 Tungule 1kubwa Kitunguu maji 1 Somu na tanga wizi kijiko 1cha mezani. Pili pili boga1 Pilipili manga kijiko kidogo Uzile au bizari nyembamba kijiko...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Binafsi napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagiza kichwa maana bila ya kula jicho sijajickia kama nimekula. Lakini pia kama hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama...
0 Reactions
75 Replies
11K Views
Dah hii juice ina sukari nyingi sana.. Haijakaa sawa haswa kwa matumizi ya watoto na wazee..
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa, Kama mada inavyojieleza. Ni ipi ladha ya juisi huwezi kuichoka hata unywe mara nyingi. Kwa upande wangu mchanganyiko wa nanasi, parachichi na pasheni. Kwa kweli napenda sana...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Nimekaa waungwana nikasema mnisaidie kati ya hao ndege wawili ni yupi kati yao nyama yake inashikia hatamu kwa utamu?
1 Reactions
32 Replies
10K Views
Njia hizi zitakurahisishia usafi jikoni na kuweka jiko lako safi bila bacteria 1. Tumia chumvi na ndim kusafisha ubao wa mbao wa kukatia vitu jikoni. Mwagia chumvi kwenye ubao halafu sugua na...
4 Reactions
2 Replies
4K Views
JF, Nafikiri na nyie mtakuwa mmegundua hili. Wapishi katika mahoteli makubwa wengi ni wanaume. Hasa hasa hoteli zenye hadhi ya nyota tano lakini hata zile za hadhi ndogo. Sijajua sababu au ni...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu habari za weekend, Naomba msaada wa haraka wa namna ya kupata mboga hizi na ikibidi mbegu zake. Na je, nikienda sokoni niziulize kwa majina yapi, maana nimeelekezwa na mtu ambaye si...
1 Reactions
25 Replies
12K Views
Ukiachana na ile chopping board iliyopata mrejesho hasi. Pia Kuna kifaa hua natumia Sana..kwa jiko langu...nacho Ni MBUZI.. sijui mbuzi kwa English inaitwaje. Je, Wewe kitaa gani unatumia zaidi...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Bia ni kifungua kinywa bora, siri moja ya kifungua kinywa hiki ni kunywa beer moja tu. Wengi wanaharibu hapa kutaka ya pili na ya tatu. Ukishaongeza ya pili umevunja mwiko. Unaweza kushushia na...
13 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari wapendwa wa JamiiForums. Naomba mwenye elimu ya kutengeneza barafu na juice ya matunda mchanganyo wa nanasi ndizi na parachichi aweze kunisaidia, email yangu ni yasinijawadu@gmail.com...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini za saa hizi wandugu? Leo nilienda kununua nyama ya ng'ombe buchani yapata robo kilo kutokana na mlaji niko peke yangu getto. Maajabu ni kuwa nilianza kuchemsha kwa jiko la gas mida ya...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO 1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi...
13 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari wakuu. Ningependa kujua bei za sare za chef na aina zake. Ukituma na picha nitashukuru
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimechoka kula wali ugali ndizi tambi nk nimeamua kujaribu vyakula vipya kabisa vitakavyonipa ladha mpya. Nimeanza na majongoo Yale makubwa meusi. Nitayala kwa mfumo wa kuyakaanga kwenye mafuta...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi ni kweli kwamba kiporo cha chakula hakina faida yoyote mwilini? Kinakua ni km makapi tu? Je, hakina virutubisho vyovyote?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kunywa chai ya kuunguza sukari kama majani ya chai tukutane hapa. Chai ile ilikuwa inatengenezwa kwa kuchukua Sukari unaiweka kwenye sufuria iliyopo motoni...
32 Reactions
137 Replies
21K Views
Back
Top Bottom