Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
1. Mapishi Kababu za nyama (Meat Ball) Leo tuangalie mapishi ya meat ball (kababu) za nyama ya ng'ombe. Ni kitafunwa kizuri sana kwa asubuhi au hata jioni. Mahitaji · Nyama ya kusaga 1/2kg · Yai...
3 Reactions
2 Replies
17K Views
Habari menu, Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole. Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu...
6 Reactions
150 Replies
13K Views
MAHITAJI [*=left]1 kilo unga wa ngano [*=left]240 ml maji ya vugu vugu [*=left]2 olive oil kijiko kikubwa cha chakula [*=left]2 asali kijiko kidogo cha chai [*=left]1 chumvi kijiko...
4 Reactions
4 Replies
17K Views
Ukweli kiti moto kina shombokali na ukikosea kuipika itakushinda kula hasa roast. Giligiliani majani haya hukatashombo yote. Kata giligilani uchemshe pamoja na limao au ndimu. Maji haya...
6 Reactions
10 Replies
4K Views
Hello, wakuu naomba msaada wa jinsi ya kukaanga karanga kwa ajili ya kuuza. Je, naweza tumia microwave katika kukaangia karanga au je, nitumie nini katika kukaanga karanga? Msaada tafadhali
1 Reactions
19 Replies
15K Views
Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma. Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa...
8 Reactions
59 Replies
8K Views
Kwa anayefahamu kupika chainizi tamu naomba anipe maelekezo, nahitaji ladha.
3 Reactions
14 Replies
7K Views
Mboga za majani ni muhimu sana kwa afya. Tunashauriwa kula mboga za majani kila siku. Binafsi napenda kula mboga za majani na mboga zangu pendwa ni tembele, chainizi, majani ya maboga na kisamvu...
6 Reactions
47 Replies
9K Views
Hello, Anayejua materials za utengenezaji wa sausage zinapopatikana naomba unielekeze.
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Salaam JF, Leo napenda kushea nanyie jikoni kwangu,jinsi ya kupka majani ya maboga yakawa matam bila kutumia gharama kubwa. @Mahitaji majani ya maboga fungu1(kulingana na mahitaji ya familia...
13 Reactions
54 Replies
10K Views
Nina imani mabachela tuko wengi sana humu. Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo...
22 Reactions
582 Replies
62K Views
Jinsi ya kupika supu ya ulimi wa ng'ombe/nyama ya ng'ombe/mkia wa ng'ombe/makongoro/nyama ya mbuzi/samaki/kuku/utumbo Mahitaji Ulimi wa ng'ombe/nyama ya ng'ombe/mkia wa...
5 Reactions
92 Replies
63K Views
Wakuu Jana nimejichanganya sehemu moja Mwanza nikaambiwa wanapika birian zuri sana nilichokutana nacho Mungu anajua. Asanteni sana Mwanza [emoji1487][emoji1487][emoji1487]
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello wapishi. Leo ni siku ya sikukuu wa wenye imani ya dini ya Kiislamu, ila kwa kiwa sisi ni wamoja huwa tunasherehekea pamoja. Sasa leo unapika nini siku hii? Tushirikishe kisha tupia picha...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa naomba kufahamu unga wa dengu hutumiwa kupikia nini? ======== Wadau washauri jinsi ya kutumia Bagia, Kachori kwa hapa unatumia viazi unavichemsha vikiiva unavipondaponda kisha...
0 Reactions
13 Replies
14K Views
Mara kadhaa tumekua tukitumia Tango kama moja ya matunda yetu. Lakini je umepata kujua kazi za Tango mwilini? Makala hii itaangazia faida kedekede za Tango katika mwili wa binadamu. Wengi wetu...
8 Reactions
8 Replies
4K Views
Mara ya kwanza naonja Kimchi ilikuwa kwenye hafla fulani huko Jijini Dar es Salaam. Nillikuwa na shauku sana kuonja menu ambayo naiona tu kwenye series. Of course nilijua kitakuwa ni chakula...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mahitaji -Kuku 1 -Karoti 3 -Vitunguu 2 -Vinega -Pilipili kiasi -Mafuta ya kukaanga Jinsi ya Kuandaa -Kata kata kuku -Kaanga kuku -Weka vinega kwenye bakuli katia humo na pili pili...
5 Reactions
23 Replies
32K Views
Wadau wa JF Nimeingia Iringa muda huu kikazi Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake shs...
8 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari zenu wanajiko. Leo ningependa tushee mambo yanayotutokea jikoni, yale ya vituko vituko. Mie mengi yamewahi kunikuta lkn ntaweka machache tu. Kuna siku mama yangu aliniwachia niangalie...
14 Reactions
188 Replies
27K Views
Back
Top Bottom