Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
KIINGEREZA - KISWAHILI: 1. Charger - kimemeshi 2. Remote - kitenzambali 3. Password - nywila 4. Akala (bladder shoes) - kirikiri 5. Passion fruit - karakara 6. Kangaroo - bukunyika 7. Fridge -...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina hoja naleta kwenu tuijadili. Je, mitandao ya kijamii inasaidia kuboresha lugha yetu ya Kiswahili maana watumiaji ni wengi na vile vile wafuatiliaji wa hiyo mitandao ni wengi. Mifano hai ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kuchanganya kiswahili na kingeleza Tanzania tunafeli wapi huyu Alie Andika kwenye jengo hili vipi jengo la CCM Dodoma la Uchaguzi (UCHAGUZI HOUSE) neno UCHAGUZI halina Kiingereza au neno...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Wajumbe Simu walinipigia, Sifa zangu kunipatia, Wakanisihi nitie nia, Wajumbe sio watu wazuri Walisema nakubalika, Nitapita bila shaka, Kura zao watanipa uhakika, Wajumbe sio watu wazuri Mara...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
22 Reactions
295 Replies
27K Views
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA INTERVIEW WITH CAPITAL TALK MKAPA ON...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Katika kila fani kuna misingi kumi inayo fanya fani fulani iwe fani, katika misingu hiyo leo baangazia juu ya msingi mmoja ambao husomeka hivi "Kumjua yule wa mwanzo katika fani husika" Kila somo...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Hatimaye tafsiri ya Jina mjumbe imetolewa M -Mtu J-Jasiri U-Usimbabaishe M-Mheshimu B-Bila kujali E-Elimu yake
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Napenda kujua tafsiri ya msamiati Asasi. Mara nyingi nimesikia wakisema Asasi ya Kiraia lakini Asasi ni nini sijajua bado. Naomba kufahamishwa, I'm deep [emoji120][emoji120][emoji120]
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nini tofauti ya matumizi ya maneno hayati na marehemu na yanatakiwa kutumika wakati gani?
0 Reactions
23 Replies
19K Views
Question tags, ni maswali mafupi mwisho wa sentensi. Tunatumia question tags pale ambapo tunategemea msikilizaji au msomaji kukubaliana na maelezo yetu. Mfano isn't it?, can you? wasn't it? Have...
11 Reactions
26 Replies
8K Views
Maana nimemsikia Mtangazaji kasema "kubababaake"
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Vitate, Vitawe na Visawe VITATE, VITAWE NA VISAWE Kitengo Msamiati MASOMO Prev N/A Next Tarakimu Baadhi ya maneno ya Kiswahili yanaweza kuwa na maana sawa, maana zaidi ya moja au...
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Nimetoa Wikipedia. The four mild Coronaviruses have a seasonal incidense occuring in the winter months in Temperate climate. There is no preference towards a particular season in Tropical climate.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Naombeni msaada nawezaje kujifunza kingereza cha kuongea japo nina idea nacho kidogo ila kwenye kuongea ndo shida. Nitumie njia gani ili niweze kuongea vizuri.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam kwenu wana Great thinker. Kwa mara nyingine tena najitokeza kwenu kuwaomba mnisaidie kujua ni kitabu gani cha Sarufi ya kiingereza au kwa lugha nyingine tunaita English Gramer, ambacho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisadie kutranslate afisa tarafa kwa lugha ya malikia(english) ,anaitwaje.
0 Reactions
17 Replies
34K Views
Wakuu naomba kujuzwa hiyo sentensi ('Framework of agreement' kwa Kiswahili') kwa lugha ya Kiswahili please Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nchi nyingi zilizoendelea Elimu zao hutowa kwa kutumia Lugha mama ya kwao, Mfano Urusi Vyuo vingi wanatumia kufundishia kwa Kirusi. Hii ina maana ya kuwa Lugha ni nyenzo muhimu kwenye kukuza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
C&P UTAFITI Kwa mujiub wa utatiif liuofanywa na Prfo. Hassain Klilo wa chou kiuuk cha Dodoam, haukna haaj ya kuwa na mpaiinglo kweney heruif katiak maneon. Cha mhuimu ni kuaw na mpaiinglo kweney...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom