EGF
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 386
- 978
Habari za muda huu wana jamvi, Kwa muda mrefu sasa nimekua nikisikia neno MKATA UMEME likitumika katika mazingira tofauti hasa katika upande wa mpira wa miguu, limekua likitumika kwa mchezaji Fraga( mtibua mipango).
Ningependa kufahamu hasa hili neno lilianzia wapi na mtu anaepewa sifa ya jina hili ni mtu wa aina gani?
Ningependa kufahamu hasa hili neno lilianzia wapi na mtu anaepewa sifa ya jina hili ni mtu wa aina gani?