mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 207
- 482
Habari wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi nina tatizo kubwa la kuongea Kiingereza. Nimekuwa nikipoteza fursa nyingi kwa sababu ya kushindwa kuwa fluent kwenye kuongea English.
Mimi ni mwajiriwa kwenye international NGO, nina uwezo mzuri wa kufanya kazi na zinakubalika na kila mtu ila ukinipa nafasi niongee nnachofanya kwa Kingereza nina struggle sana.
Nikiandika vitu vinanyooka ila nikiongea kuna muda mpaka napanic nashindwa kabisa kuongea.
Nimeshashindwa interviews nyingi sababu hiyo.
Nimeshakosa fursa nyingi za kufanya presentation ambazo zingeniuza sababu hiyo.
Kwa mtu asiyenifahamu ni ngumu sana kuamini uwezo wangu kama tukifanya conversation kwa Kiingereza.
Kiasi kwamba sasa nimeona siwezi kuendelea kuishi namna hii naitaji msaada wa mawazo namna gani naweza kuboresha kingereza changu cha kuongea.
Naombeni ushauri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi nina tatizo kubwa la kuongea Kiingereza. Nimekuwa nikipoteza fursa nyingi kwa sababu ya kushindwa kuwa fluent kwenye kuongea English.
Mimi ni mwajiriwa kwenye international NGO, nina uwezo mzuri wa kufanya kazi na zinakubalika na kila mtu ila ukinipa nafasi niongee nnachofanya kwa Kingereza nina struggle sana.
Nikiandika vitu vinanyooka ila nikiongea kuna muda mpaka napanic nashindwa kabisa kuongea.
Nimeshashindwa interviews nyingi sababu hiyo.
Nimeshakosa fursa nyingi za kufanya presentation ambazo zingeniuza sababu hiyo.
Kwa mtu asiyenifahamu ni ngumu sana kuamini uwezo wangu kama tukifanya conversation kwa Kiingereza.
Kiasi kwamba sasa nimeona siwezi kuendelea kuishi namna hii naitaji msaada wa mawazo namna gani naweza kuboresha kingereza changu cha kuongea.
Naombeni ushauri.