Kama inavosomeka hapo juu kwenye pitapita zangu za kusaka maarifa ya kidunia nimekutana na maneno hayo mawili yakionesha utofauti mkubwa.
Katika utofauti wa hayo maneno walienda mbali zaid na...
The use of the word "MAN" simply implies to Humans, Human beings , Human creation (both men and women collectively in regard to creation. That is what i undersstand, but it has come to my...
Watanzania walio wengi bado imekuwa vigumu kwao ktamka neno "kura" badala yake wanatamka "kula" na hivyo kupelekea kupoteza maana nzima iliyokusudiwa.
Tafadhali tusiharibu maana ya KURA. Ni KURA...
Dear all,
Be invited to read and comment to this open letter
Reference to be made to the heading above,
For a while, it has been noted the need of reviewing our language policy through a...
Nataman sana kujifunza kingereza najua kusoma lakini kuelewa vitu vichache sana hata nikitaka nijaribu kuongea nachanganya data. Naomba mnipe kanuni ya kuweza kujifunza kingereza nianze na nini na...
Hippopotomonstrosesquipedaliophobia
Najua hujalimaliza kusoma![emoji1]
Hilo neno linatumika kuelezea tabia ya mtu kuogopa maandishi marefu.
(Uoga wa maandishi marefu)
Neno...
Ingawaji mimi sio msomaji sana wa kamusi ila leo matumizi ya neno "demu"mtaani yamenisukuma kuangalia maana ya neno demu kwenye kamusi.
Nimekuwa nikisikia mara nyingi wanaume/wavulana wakutumia...
Wasalaam wanabodi, dhumuni la uzi huu ni kueleza kero yangu kwa watangazaji ea kizazi hiki, kero zipo nyingi ila kwa leo ni haka katabia ka kuchomekea vimaneno vya kiingereza kwenye mazungumzo...
Habari wanajamvi, Ongereni kwa kazi za kila siku.
Binafsi umri wangu umesonga kidogo (50s) sasa. Kwa ufupi ni kwamba, nimejitahidi sana sana kuwa mwaminifu katika maisha yangu ya ndoa na sasa...
Neno utopolo limekua maarufu Sana kwa siku za hivi karibuni likimaanisha kitu kisicho imara(dhaifu).
Wengine wameenda mbali zaidi kwa kuibatiza club ya yanga jina Hilo.
Napendekeza neno utopolo...
Habari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto, vijana, wazazi na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka...
Mkirusha matukio live mnaandika Mbashara hiki kiswahili cha wapi? Hili neno linaandikwa Mubashara msituletee mambo ya kihuni kama wale wapuuzi wanaotumia "X" badala ya "S", kuandika "hile" badala...
Kiswahili hakijaenea leo wala jana kuingia Bara na sehemu nyingi za Afrika kwa ukubwa kiswahili kilienea karne ya 20 (Wakati wa wakoloni hasa waingereza na wengineo).
> Shughuli za kiuchumi hasa...
Wakuu,
kwa members wanaoishi Dodoma naomba kupewa taarifa Kama Kuna English club inayotoa fursa ya kujifunza na namna ya kuitumia lugha ya kingereza hapo Dodoma mjini.
Natanguliza shukrani zangu
Greetings to all,
Early Next week I will be relocating to Dodoma City, hereby requesting your support.
I'm a public servant who had an exposure to visit English speaking country in East Africa...
Hivi hili neno limetoka wapi na kwa nini yameitwa hivyo?
Yana utofauti gani na nywele za kichwani, kama kunyoa zote zinanyoleka sasa kwa nini itofautishwe?
Kila nywele ina jina kutokana na sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.