Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
RUWAZA maana yake nini?
0 Reactions
2 Replies
28K Views
Nikikosea kuzungumza lugha ya Kiingereza sisikitiki wala kuona aibu. Lakini nikikosea kuzungumza kiswahili au lugha ya kabila langu kwa kuzaliwa natamani ardhi ipasuke na kunimeza kwa ajiri ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
jamani sisi wengine tumezaliwa enzi za mkapa hatukuwahi kupata bahati ya kusikia hotuba za kiiingereza za mwinyi wala nyerere,ningependa kujua kati ya hao wanne nani ni mkali wa kucheza na lugha...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Je ndugu zangu naomba kama kuna mtu anajua muarobaini unaitwaje
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Naombeni tofauti kati ya maneno yafuatayo: UDINI na DINI, maana imezuka tabia humu katika jukwaa mtu akiwa anatetea dini yake anaitwa MDINI. Wataalamu tufafanulieni
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Eibara ly'omwaka oguhya ni TONGANA. Nimbendela eilembe.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni sahihi kusema hivyo?
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Kuna watu ambao wamekuwa na udhaifu wa kuchanganya matamshi ya herufi kadhaa. Kwa Wamakonde M wao huitamka kama N (mathalan, mtu wao husema ntu) kuna wengine kwenye R wao huweka L na kinyume chake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi ni sawa kusema jua limezama? Kama linazama huwa linazama wapi, manaake ukweli ni kwamba dunia ndio inayozunguka. Jua liko pale pale. Mbaya zaidi wabongo tunatabia ya kuita Ulaya eti ni majuu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekutana na kipande cha utenzi kimenishinda kutafsiri kwa kiswahili rahisi, msaada please Uwene wangapi watu wakwasi walo wakiwaa kama shamasi wamuluku dhana za adharusi dhahabu na fedha...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ridhiki mafungu saba?? Kwanini si mafungu 3?4?20?etc.
0 Reactions
3 Replies
16K Views
Waswahili hebu nijuzeni kwenye hili; Mke/Mme wa Mjomba/Shangazi wangu/yangu ni mwite nani?. Je ni sahihi kumwita Shaangazi/Mjomba?. Karibuni nguli wa kiswahili kwa mjadala.
0 Reactions
9 Replies
35K Views
Kwa wataalam wa lugha naombeni msaada wenu. Katika sentensi kama hii HA-KU-CHEZ-A Je nini kazi ya "KU" zaidi ya kuonesha wakati uliopita?
0 Reactions
25 Replies
21K Views
Naomba kusaidiwa hili; MZUNGU NI NANI?
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Hayati Bibi Titi Mohamed alipojiunga na TANU alimshauri Hayati Nyerere alifunze Kiswahili, binafsi nimekuwa nikijiuliza na kuduwaa kwa hili, maana Wakoloni kuanzia Wajeremani walijifunza na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
utakuta mwanaume anaitwa shehe ali, au ustaz ali, au maalim seif. je mwanaidi atapewa kiambatanishi gani? hapo naomba kueleweshwa tu. sina ubaya.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hivi ni sahihi kumuita SECOND MISTRESS wakati kukiwa na HEAD MASTER. Ninavyojua second mistress ni msaidizi wa head master hivyo alitakiwa aitwe SECOND MASTER hata kama ni mwanamke. Nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wajameni naomba kufafanuliwa hili neno FISADI! hapo nyuma tumesikia kua ufisadi ni ubadhirifu wa mali za umma au kujilimbikizia mali kwa njia isiyo halali, lakini hapa karibuni tumemsikia mkubwa...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nimejiuliuliza mara nyingi kuhusu suala la unyumba...ni nini maana yake? Eti kaninyima unyumba,ama mpe unyumba. Kwanini watu wasiwe wawazi
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Back
Top Bottom