Inategemea wanafocus nini, kama huo Uchumi Unahusu NCHI basi wako sahihi kwa maana ya Nchi ni yetu, na kama Uchumi ulioandikwa hapo unawahusu Watu basi sio sahihi kwani huwezi kusema Uchumi ni yetu. (vilevile kinyume chake pia)tujenge uchumi wetu
Nilitaka kuchangia lakini wewe ndio umenichanganya kabisaaa!uchumi ni supermarket....nadhani wanamaanisha wajenge supermarket yao
Nilitaka kuchangia lakini wewe ndio umenichanganya kabisaaa!
na nini tena mpenzi....karibu basi maji ya zabibu
Ahsante mpenzi, maana yake nimekuwa na kiu kali kwa siku kadhaa sasa!na nini tena mpenzi....karibu basi maji ya zabibu
Baada ya hizi salaamu na Merry X-Mass tutaendele kuchangia Uchumi Yetu au ndo tushamaliza??? !!!!!!!Ahsante mpenzi, maana yake nimekuwa na kiu kali kwa siku kadhaa sasa!
Ha ha ha! Tutaendelea, hapo tunapumzika kidogo na kikombe cha kahawa manaake uchambuzi huu wa Uchumi Yetu ni mgumu kidogoBaada ya hizi salaamu na Merry X-Mass tutaendele kuchangia Uchumi Yetu au ndo tushamaliza??? !!!!!!!
vipi...Nilham amelala tuzungumze?
Baada ya hizi salaamu na Merry X-Mass tutaendele kuchangia Uchumi Yetu au ndo tushamaliza??? !!!!!!!
Ningependa nianze na myeupe kwanza halafu nimalizie na myekundu. Kiu yangu kali ati!subiri wewe uchumi baadae....mpenzi Rungu....utapenda maji ya mzabibu myeupe au myekundu
ushindwe na ulegee...naipenda ndoa yangu bado!l.o.l
sishindwi wala silegei....nshaambiwa siri ya mtungi aijuae kata.....he he.,...we twen'zetu bana
Ningependa nianze na myeupe kwanza halafu nimalizie na myekundu. Kiu yangu kali ati!
yote yanshakuwa yako...jisikie umefika
inawezekana ikawa hayupo kweli hapa eeh...sasa inakuwaje? tukutane dar west au?