KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,697
- 12,039
Wakuu nadhani huyu mtangazaji wa TBC1, Emanuel Amas huwa anakosea pale anaposema "Nikiiripotia TBC1,,mimi ni Emanuel Amasi", iwapo yeye ni mwajiriwa na si kanjanja tu wa kukodi.
Kama huwa anakodishwa tu na TBC na wakati mwingine anairipotia CNN,aljazeera etc, sina ukakasi katika hilo, ama la sivyo mi sijui kiswahili.
Kama huwa anakodishwa tu na TBC na wakati mwingine anairipotia CNN,aljazeera etc, sina ukakasi katika hilo, ama la sivyo mi sijui kiswahili.