DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Inabidi tusaidiane wana JF kuhusu hili tatizo la matamshi na uandishi wa baadhi ya maneno ya kiswahili ili tuepuke kuharibu lugha hii,kwa mfano;
...kura chakula,badala ya kula chakula.
...abari zako,badala ya habari zako.
...piga kula,badala ya piga kura.
...kalibu,badala ya karibu.
...hasubui,badala ya asubuhi.
...askali,badala ya askari
...malanyingi,badala ya maranyingi.
...eshima,badala ya heshima.
Yako makosa mengi yanayo jirudia ningependa nawe pia uyaainishe hapa.
...kura chakula,badala ya kula chakula.
...abari zako,badala ya habari zako.
...piga kula,badala ya piga kura.
...kalibu,badala ya karibu.
...hasubui,badala ya asubuhi.
...askali,badala ya askari
...malanyingi,badala ya maranyingi.
...eshima,badala ya heshima.
Yako makosa mengi yanayo jirudia ningependa nawe pia uyaainishe hapa.