Habari WanaJF?
Nimekuwa nikiona jamii ya watu wenye ulemavu wakikataa kutumika maneno ya Kiswahili katika ulemavu wao kwa madai kuwa yanaonyesha dharau kwao. Nimejiuliza sana kwa nini iwe ni...
Kwa muda sasa nimekua nikisikia watu mbali mbali wakisema 'mtu anapewa au anatunikiwa tunzo fulani'. Mimi kwa uzoefu wangu najua kwamba hilo neno ni Tuzo, lakini sasa kutokana na watu wengi sana...
Msaada kwa mdau yeyote mwenye kamusi softcopy either pdf format au link ya page yenye translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza. Kwa ufupi Swahili - English dictionary.
Thanks in advance
Arabic uses 28 different consonants, and each consonant is represented by a different letter.
Because the Arabic alphabet is written in cursive, most of the letters connect with each other. For...
Wasalamu salimini, natumaini mu kheri,
Swali hili si la dini, ninauliza shauri,
Limezonga akilini, nshachoka kufikiri,
Mume akipata jiko, mke amepata nini?
Tangu enzi na enzi, hii kauli si...
Ninauliza kwanini, aliyeanzisha nani?
Asiyefanya ni nani, na ukifanya kwanini?
Mtu kuuliza nini, atakayejibu nani?
Unapokula dagaa, kwanini uzihesabu?
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
Safarini
Tupia maneno mawili ya kiingereza ambayo karibu yanatamkika sawa japo maana na tarakimu zake ni tofauti.
1.Seat,sit
2.No,know
3.Leave,live
4.Eat,it
5.Calm,come
Endelezeni hapo wakuu..
Salaam,
Naomba kuuliza kama kuna tofauti kubwa kati ya phrases hizo mbili za "paka hula popo" na "popo hula paka"
ukifikiria kwa undani unaweza kugundua kitu katika hayo maneno na jitahidi...
Wanabodi amani iwe kwenu...
Kama unafuga mbwa ambaye habweki wala hang'ati tena wakati mwingine hulala fofofo 24 hours na huko mtaani unajivunia eti kwamba una mbwa hodari kiboko ya majizi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.