Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa anayefamu Kiswahili anipe tafsiri ya neno t'osa''.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wenye taaluma hiyo walio na uzoefu wa kutosha wanahitajika haraka. PM taarifa zako pamoja na mawasiliano yako.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MINUTES ya KIKAO, nakataka kujua maana ya MINUTES kwa Kiswahili fasaha.
0 Reactions
3 Replies
21K Views
Habari WanaJF? Nimekuwa nikiona jamii ya watu wenye ulemavu wakikataa kutumika maneno ya Kiswahili katika ulemavu wao kwa madai kuwa yanaonyesha dharau kwao. Nimejiuliza sana kwa nini iwe ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar wana wa JF, naomba kuuliza nini maana ya neno tovya!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa muda sasa nimekua nikisikia watu mbali mbali wakisema 'mtu anapewa au anatunikiwa tunzo fulani'. Mimi kwa uzoefu wangu najua kwamba hilo neno ni Tuzo, lakini sasa kutokana na watu wengi sana...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
1. Mwenye nyumba amekuja 2. Mwenye ujuzi wa kushona aende
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada kwa mdau yeyote mwenye kamusi softcopy either pdf format au link ya page yenye translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza. Kwa ufupi Swahili - English dictionary. Thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Namba msaada wa hizi alama katika uandishi wa habari ndefu (: ,; ! # . / ....<>) ili niweze kuandika habari au barua kwa usahihi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za asubuhi, Naomba mniasaidie vitu hivi kwa Kiswahili fasaha vinaitwaje 1.Laptop 2.Camera Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Arabic uses 28 different consonants, and each consonant is represented by a different letter. Because the Arabic alphabet is written in cursive, most of the letters connect with each other. For...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtu anaposema fimbo ya mbali haiuwiii nyoka ana maana gani
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Wasalamu salimini, natumaini mu kheri, Swali hili si la dini, ninauliza shauri, Limezonga akilini, nshachoka kufikiri, Mume akipata jiko, mke amepata nini? Tangu enzi na enzi, hii kauli si...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauliza kwanini, aliyeanzisha nani? Asiyefanya ni nani, na ukifanya kwanini? Mtu kuuliza nini, atakayejibu nani? Unapokula dagaa, kwanini uzihesabu? Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji) Safarini
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nini maana ya neno "NINI" ??
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tupia maneno mawili ya kiingereza ambayo karibu yanatamkika sawa japo maana na tarakimu zake ni tofauti. 1.Seat,sit 2.No,know 3.Leave,live 4.Eat,it 5.Calm,come Endelezeni hapo wakuu..
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Salaam, Naomba kuuliza kama kuna tofauti kubwa kati ya phrases hizo mbili za "paka hula popo" na "popo hula paka" ukifikiria kwa undani unaweza kugundua kitu katika hayo maneno na jitahidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanabodi amani iwe kwenu... Kama unafuga mbwa ambaye habweki wala hang'ati tena wakati mwingine hulala fofofo 24 hours na huko mtaani unajivunia eti kwamba una mbwa hodari kiboko ya majizi ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mtu alojiuzuru kuitwa mstaafu ni sahihi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom