Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,743
Mimi huwa naangalia movies za kiingereza, nasoma viji stories vidogo vidogo, nasoma novels halafu pale nnapokuwa peke yangu nakuwa nasoma kwa sauti ili kuangalia tonation yangu ipoje. Kwa kweli imenisaidia sana mpaka sasa niko powa sana kwenye hii lugha.
Muwe pia mnasikiliza miziki na kuangalia hizi series. Na muwe mnafanya hivo sio kwa lengo tu la kufurahia ila kwa lengo la kujifunza kiingereza. Kuna hii series fupi ya pirates of the Caribbean yaani nimemaliza kuangalia nime gain vocabulary nyingi sana pamoja na ufundi wa kuongea.
Mwisho wa siku nawapa rai na nyinyi ndugu zangu mjifunze hii lugha ya malkia maana huko tunapoenda kama unataka uwe kimataifa huwezi kwepa.
Embu share na wewe unajifunza vipi hii lugha? Naomba Kiranga ukaribie hapa because it's a de-facto, you are the connoisseur of this language according to JF's standards.
Muwe pia mnasikiliza miziki na kuangalia hizi series. Na muwe mnafanya hivo sio kwa lengo tu la kufurahia ila kwa lengo la kujifunza kiingereza. Kuna hii series fupi ya pirates of the Caribbean yaani nimemaliza kuangalia nime gain vocabulary nyingi sana pamoja na ufundi wa kuongea.
Mwisho wa siku nawapa rai na nyinyi ndugu zangu mjifunze hii lugha ya malkia maana huko tunapoenda kama unataka uwe kimataifa huwezi kwepa.
Embu share na wewe unajifunza vipi hii lugha? Naomba Kiranga ukaribie hapa because it's a de-facto, you are the connoisseur of this language according to JF's standards.
Last edited by a moderator: