Vijana wengi Leo hii wapo busy kutafuta mambo ya Kuwa furahisha na siyo kuwa fanikisha .
Kama kijana anapaswa kujenga nguzo zifuatazo ili aweze kufanikiwa
Kwa Leo nitaongelea nguzo mbili tu ...
Na nitaomba pia kama kuna Mwanajeshi yoyote yule hapa JamiiForums mwenye Kamusi Maalum ya maneno ya Kijeshi ya Kiswahili kwenda Kiingereza au Kiingereza kwenda Kiswahili aniwekee hapa au aniambie...
We Mama Njoo
Njoo Uone Nchi Ilivyobadilika
Tanzania Ya Leo Oooh!
Imejengwa Imejengeka
Pita Ubungo Tazara
Za Juu Barabara
Tayari Zinatumika
Reli Yenye Viwango Bora Standard Gage
Karibu...
Tukumbuke kuwa lugha yoyote imebeba utamaduni wa wazawa wa lugha husika. Na matusi hutofautiana kutoka lugha moja hadi nyingine. Neno ambalo ni tusi katika lugha ya Kiswahili huenda lisiwe tusi...
NDUGU ZANGU, SIO “COME DOWN”, NI “CALM DOWN”.
Katika post hii naomba niwakumbushe kuwa unapokuwa ukimtuliza mtu aliyepaniki au mwenye hasira, huwa hatusemi “come down”. Huwa tunasema “calm down”...
IPI TOFAUTI KATI YA “COME BACK” NA “GO BACK”?
Kwenye post hii, naenda kukupa tofauti kati ya “come back” na “go back”.
Maneno yote mawili “Come back” na “go back” humaanisha “rudi” au “kurudi”...
Naomba ufafanuzi hivi huyu mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote kwa maana ya jeshi la police, jeshi la magereza au ni mkuu wa jeshi la wananchi Tanzania
Hata kama ni haraka unawezaje kuandika Press release ya ajabu namna ile tena inatoka Ofisi kuu ya Nchi , Nanukuu baadhi ya maneno Para ya Kwanza, " Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe...
KAMA HUWA ANAKUSALITI, SEMA "HE/SHE CHEATS ON ME".
Tunapozungumzia suala la usaliti katika mapenzi, yaani fulani anakusaliti, huwa tunatumia preposition "on". Ambao wamesoma nasi kwenye mada ya...
JE TUNATUMIA “WHEN” AU “WHILE”? IPI TOFAUTI KATI YA “WHILE” NA “WHEN”? JIFUNZE HAPA.
Katika post hii tunaenda kujifunza matumizi ya maneno “when” na “while” ambayo yanatumika kuelezea matukio...
KAMA HUWA ANAKUSALITI, SEMA "HE/SHE CHEATS ON ME".
Tunapozungumzia suala la usaliti katika mapenzi, yaani fulani anakusaliti, huwa tunatumia preposition "on". Ambao wamesoma nasi kwenye mada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.