Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Jaman Wana jamii forums Nina swali. Je, ni lugha gan ambayo hutumika wakati wa interview yako pale ubalozi wa marekani ni Kiswahili au ni English? Na pia, je interview unafanyia ndani kwenye...
3 Reactions
2 Replies
716 Views
Leo tuna Hadith mpya DONDA LA WIVU 👇 LEO MCHANA. “Ni lazima niitishe kikao cha wazee wa Mila, ni lazima nipange siku moja maalumu kuwakomoa firauni hawa, wajinga na wapuuzi wanao...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
WAMEZIDI.(Wamekua too much) Mtunzi:Elaija-Elia. (Sms) +255744225388. KAMPANI. "Waziri Beni unahitaji KAMPANI huwezi kwenda pekee Ulaya." Secretary Rose aliongea kwa madaha mbele ya...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
neno maana yake Shimboni Shikamoo (Habari yako?) Shimboni mae/mbe Shikamoo mama/baba? Nasicha Nzuri Aika...
4 Reactions
12 Replies
22K Views
Salaam; Wana jukwaa Wataalamu wa kiswahili, Katika harakati za kutafuta maisha, wahenga kwanini walitunga huu msemo na nini haswa maana yake ? Nawasilisha
3 Reactions
13 Replies
7K Views
Lugha yetuuu vipi unajua?
0 Reactions
2 Replies
317 Views
TATIZO LA KUTAMKA "R" NA "L" Hili tatizo la shida ya kushindwa kutofautisha kati ya "R" na "L" ni tatizo jipya. Nyakati zetu tunasoma shule ya msingi katika miaka ya 1950 tatizo hili halikuwapo...
13 Reactions
28 Replies
1K Views
Imekuwa ni kawaida kupata misamiati mipya kutoka kwa marais ofisini. Huu ni msamiati mpya kwa wale wapendao kuishi kwenye taabu: BAKITA wakae mkao wa kula. Haikosi msamiati huu unawahusu...
0 Reactions
2 Replies
447 Views
Inakuwaje wanajamvi! Huyu mwamba namsifu sana kwa kukitukuza na kukitangaza Kiswahili. Lakini badooo tena sana yani bado tu. Analazimisha. Yani levo yake ni shallow balaa chini kabisa...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamaa aliyeonekana anakuja kuokoa jahazi, upepo ukamshinda naye akazama mazima
12 Reactions
28 Replies
1K Views
maneno kama vile; magumashi miyeyusho shobo jau sanua (mfano; kimesanuka, imesanuka, 'mange kimambi kakisanua huko') haya maneno yanafahamika sana ila sidhani kama wengi tunafahamu namna ya...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Ahsanteni sana Kamusi ya TUKI ya Kiswahili kwa Kiswahili kwa kuja na hizi Istilahi mpya na sahihi za Lugha ya Kiswahili.
3 Reactions
5 Replies
581 Views
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au? Hebu ona hapa mifano michache katika...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Mwenye Kamusi mpya kabisa ya maneno mapya ya Kiswahili Fasaha ya TUKI aende katika Ukurasa wa 126 akamjue huyo Nyoka HATARI kabisa aitwa Fira. Nyoka Fira hatari acheni masihara.....!!
6 Reactions
40 Replies
3K Views
Kwa wasiojali kabisa suala la matumizi sahihi ya Lugha. Naombeni kuwajulisha rasmi kuwa neno sahihi ni TOFALI sio tofari.
6 Reactions
51 Replies
2K Views
Kusema Uwongo ni tendo kutoa taarifa zisizokuwa kweli kwa makusudi kabisa ili kuficha ukweli. Mtu anayesema uwongo ni mwongo, na akitoa ushahidi wa namna hiyo mahakamani anaweza kuhukumiwa kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba msaada wa hii status ya NSSF kwenye account yangu. Ni week ya 4 sasa tangu nifungue madai ya pesa zangu huko ila status inasoma bado lodged.
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Utunzi huu (wa M. Mpoto) ni kielelezo cha ubora na uzuri wa lugha yetu ya Kiswahili. Kila neno na kifungu ndani yake kinaakisi utajiri wa tamaduni na maadili ambayo tumerithi. Ni jukumu letu kama...
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanadamu kutekwa.. Ile neno kutekwa ni Gumu sana kujua maana yake na kutamkwa, lilikujaje, na lilikubaliwa vipi kutumika kwenye jamii, walitumia njia gani? Maana JF...
2 Reactions
10 Replies
753 Views
Nashika tena kalamu, kwa Jina lake Karimu, Naishika kitalaamu, nashika kiufahamu, Napanga tungo adhimu, kama gwiji na mwalimu, Kuaga kwa mwenye njaa, huaga na haondoki!! Yametokea nyumbani...
5 Reactions
7 Replies
611 Views
Back
Top Bottom