Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Watu wa mbeya hiki Kiswahili chenu cha ajabu sana, sijui mlikitoa wapi. Tuendage- badala ya Twende Turudigi- Turudi Tupikage- Tupike Tuvaage- Tuvae Agizaga- Agiza Tuangaliage- Tuangalie...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Je Kiswahili ni Lugha yako ya Kwanza?
0 Reactions
2 Replies
415 Views
Kama kichwa cha Habari kinavyosema, zaidi ya wiki sasa imepita toka nilete hii changamoto iliyopo katika lugha yetu ya Kiswahili...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaoongea Kiarabu fasaha. Hata mama Samia inasemekana anakimanya vizuri tu. Lakini kama moja ya official language, sijawahi kusikia. Mtandaoni kuna makala...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia watu wakitumia neno "kupoteza maisha" kumaanisha mtu amefariki dunia,mimi nafikiri si sahihi kwani inaonekana imetokana na maneno ya kiingereza " lost life". Naomba nisaidiwe.
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Vijana wengi Leo hii wapo busy kutafuta mambo ya Kuwa furahisha na siyo kuwa fanikisha . Kama kijana anapaswa kujenga nguzo zifuatazo ili aweze kufanikiwa Kwa Leo nitaongelea nguzo mbili tu ...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Na nitaomba pia kama kuna Mwanajeshi yoyote yule hapa JamiiForums mwenye Kamusi Maalum ya maneno ya Kijeshi ya Kiswahili kwenda Kiingereza au Kiingereza kwenda Kiswahili aniwekee hapa au aniambie...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
We Mama Njoo Njoo Uone Nchi Ilivyobadilika Tanzania Ya Leo Oooh! Imejengwa Imejengeka Pita Ubungo Tazara Za Juu Barabara Tayari Zinatumika Reli Yenye Viwango Bora Standard Gage Karibu...
0 Reactions
1 Replies
573 Views
Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani kiutani coz nausikia tu na sielewi!!!
3 Reactions
21 Replies
4K Views
i love you =i want to use you
0 Reactions
0 Replies
321 Views
Tukumbuke kuwa lugha yoyote imebeba utamaduni wa wazawa wa lugha husika. Na matusi hutofautiana kutoka lugha moja hadi nyingine. Neno ambalo ni tusi katika lugha ya Kiswahili huenda lisiwe tusi...
13 Reactions
49 Replies
19K Views
NDUGU ZANGU, SIO “COME DOWN”, NI “CALM DOWN”. Katika post hii naomba niwakumbushe kuwa unapokuwa ukimtuliza mtu aliyepaniki au mwenye hasira, huwa hatusemi “come down”. Huwa tunasema “calm down”...
6 Reactions
15 Replies
662 Views
Wadau nisaidieni kwa kweli
1 Reactions
46 Replies
102K Views
Watangazaji wa redio hii wanaharibu matamshi ya lugha ya kiswahili,"aya" wao wanatamka "haya","Redio Maria",wao wanatamka ledio malia,hebu jirekebishe
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Wahusika wametoa onyo Kwa mamba wenye tabia za kuogelea ovyo wajitathmini upya.
17 Reactions
51 Replies
2K Views
IPI TOFAUTI KATI YA “COME BACK” NA “GO BACK”? Kwenye post hii, naenda kukupa tofauti kati ya “come back” na “go back”. Maneno yote mawili “Come back” na “go back” humaanisha “rudi” au “kurudi”...
2 Reactions
4 Replies
871 Views
TUJIFUNZE KIHAYA SANIFU KATIKA MUKTADHA WA WAZIBA: 1. USISEME: Mjwahuzi yagya aruwanja rwe ndege. SEMA: Mjwahuzi yagya aituriro lye ebiarazi. 2. USISEME: Ompe omwanvuli. SEMA: Ompe ekiziba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Moyo - Cardiologist (kadiolojist) Mfumo wa mkojo - Urologist (yurolojist) Ngozi - Dermatologist (dematolojist) Mifupa - Orthopedic (aw-thopidik) Ubongo - Neurologist (nyurolojist) Watoto -...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Naomba ufafanuzi hivi huyu mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote kwa maana ya jeshi la police, jeshi la magereza au ni mkuu wa jeshi la wananchi Tanzania
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom