Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kuna Watu huwa wakiwa misibani hupenda kusema moja wapo ya neno hili kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili ambapo Kiukweli Mimi ambaye ni Mgeni hapa nchini Tanzania huwa nashindwa kujua nilishike...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Jamani nawasalimu wote kwa mujibu wa imani ya kila mtu.... kama sitakuwa nimekosea nahisi JF kuna thread nyingi zimeanzishwa kwa ajili ya movies wakishare movies walizonazo.. Baada ya kuwa...
3 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu zangu nianze kuwasalimu kwanza hamjambo humu shida yangu ni kupata maana na tofauti kati ya maneno yafwatayo Sports na Entertainment ni maneno yanayo nichanganya sana ndo maana nimekuja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Guys I would very much appreciate to have a soft copy of any poem book particulary those written by famous East African writers? I do remember some of them such as "After 4.30"."Son of a...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Wahenga husema ukimuua nyoka lazima ukate kichwa chake. Ukisha uchimbe mashimo mawili moja fukia mwili wa yule nyoka. Na lile shimo la pili fukia kile kichwa cha yule nyoka. Kama hujakikata kile...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Baba kafa maiti yake Pete? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Salaam. Nimeulizwa sauti za KISU ni ngapi? Ndio Ina maana gani?. Shukran. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Poleni na mihangaiko ya kutwa wana JF, Naombeni mnisaidie maana ya neno mfawidhi. Huwa lina maana gani maana huwa nakutana nalo sana hospitalini chumba kimeandikwa mganga mfawidhi pia mahakamani...
4 Reactions
24 Replies
30K Views
Wakuu habari, Hili neno YAKUZA lina maana gani? Wataalamu karibu.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba kuelemishwa kuwa mtu akikuita wewe ni MKORA ana maana gani dhidi yako?.
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Wataalamu naomba msaada maana ya neno ufundi mchundo ======== Mkandarasi ni fundi mwenye taaluma ya juu kuliko mafundi wengine wa ujenzi wakiwemo wakandarasi wa barabara wanaofahamu vitu na...
1 Reactions
4 Replies
20K Views
Tafsiri ya kiswahili ya jina la wimbo huo wa Patoranking na diamond platnumz-Love you die , ni ipi? Kwa tafsiri yangu ni "nakupenda.kufa" au "die" ni kinigeria kama wanavyozoeleka kuongezea "-oo"...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwani kuna makabila fulani yanapenda sana kutamka kwenye Maneno yanayoanzia na herufi :"m" wao huweka herufi : "N" sasa sijui wao ndio wapo sahihi au laa Kwamfano Maneno haya Mkate: nkate MTO...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Haya maneno mawili,yana tafsiri zinazoshabihiana kwa maana ya "kutoelewa". Unatakiwa kama kiongozi, kuwa makini unapoyatumia maneno hayo . Nijuavyo kazi ya kiongozi yeyote,ni kutoa mwanga au...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Hey Guys, Wimbo mpya wa Ali Kiba 'Seduce Me' unabamba sana kwa sasa na kuna maneno kadhaa ya Kiingereza yametumika kwenye wimbo huo. Nimeleta kwenu wajuzi wa lugha tusaidiane... Pale anaposema...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Kama mada inavyojieleza Naona hapa Mwanza wasukuma hapa wana mambo ya kishamba Wasukuma wa mwanza kwa ushamba wanaendekeza kuongea kilugha chao mbele ya mtu ambae hajui maana ya wanachokiongea...
8 Reactions
58 Replies
8K Views
1.Yafaniziwe 2. 3. 4.
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Ni msemo maarufu sana katka jamii zetu, katika kufkria kwangu kote bado sijaweza kujua undani wa msemo huu au maana kamili. - Je ni mafungu kwa maana kuna fungu la kwanza mtu hultumia tangu...
0 Reactions
8 Replies
13K Views
Naomba kwa mweye kujua au kukumbuka vizuri usahii hapa ni upi,, kati ya nyinyi nyote, na nyinyi wote. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Habar wanajamvi..kuna maneno haya ya kiingereza huwa yananitatisa naombeni ufafanuzo ...profession, professional &professionalism haya maneno yanatumikaje ..kinomino na kitenzi au kishazi Naomba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom