Maana ya neno YAKUZA

Ukienda kimara kuna kikundi cha watoto wanajiita yakuza na ukisikiliza nyimbo za singeli wanarushwa sana utasikia watoto wa yakuza

Ukikutana na hao watoto lazima waondoke na dogoli na ukiwa mbishi unakula mapanga na usiku usithubutu kukutana nao

Nadhani ushapata picha maana ya msemo huo
 
Ukienda kimara kuna kikundi cha watoto wanajiita yakuza na ukisikiliza nyimbo za singeli wanarushwa sana utasikia watoto wa yakuza

Ukikutana na hao watoto lazima waondoke na dogoli na ukiwa mbishi unakula mapanga na usiku usithubutu kukutana nao

Nadhani ushapata picha maana ya msemo huo
Nini maana ya dogoli?

“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom