Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Helo, Nataka kujifunza kichaga, sijui kabisaa. Napenda kujua kichaga, huku kilipo watu huniita mangi, mara mchaga kisa natokea Kaskazini. Natakankujua na kichaga. #ruksa kunikosoa
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wakuu natamani kujua Lugha nyingi sana Mpaka sasa natamani kujifunza Kifaransa, Kirusi na Kichina je Nianze na lugha ipi ambayo ni Simple kumaster?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimeangalia mtandaoni naona majibu hayaendani na context. Naambiwa ni befell, disaster, destiny, tragedy na accident. Msiba naomaanisha ni wa kufariki mtu moja tu, kwa Kiingereza tunasemaje...
0 Reactions
12 Replies
17K Views
1. Mvumilivu hula mbivu 2.Polepole ndiyo mwendo 3. Haraka haraka haina baraka 4 5.... Natamani iwe kinyume chake. Nakupenda Tanganyika
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mara nyingi sana tumezoea kuona vicharazio vizuri na vingi vikiwa katika lugha za kigeni,hii imesumbua sana wengi kwenye simu zao hata pale inapokuwa on kwenye auto orrection. Wengi hulalamika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salamu wan JF. Naomba mwenye soft copy ya Kamusi Kuu ya Kiswahili
2 Reactions
1 Replies
962 Views
FAHAMU KUHUSU TUNZO ZA USHAIRI TANZANIA Kuanza kwake na dhumuni la kuanzishwa kwa tunzo hizo. Taratibu,sheria na kanuni za kumpata mshindi Nusra M. Haji...
0 Reactions
1 Replies
44K Views
Wajuzi wa lugha hili neno linatumiwa sana na wadau mbalimbali,hivi nini hasa tafsiri yake?na je ni wakati hutakiwa kutumika?Je twaweza kutoa mifano? Aksanteni
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari za majukumu ndugu zangu, Nimekuwa nikijiuliza faida ya vitendawili, ngano, methali na lugha nzima ya kiswahili kwa ujumla ni nini mpaka imekuwa lugha ya taifa? Amini usiamini lugha ya...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
wanaojua hii lugha wanieleweshe jamaa alifanya nini yakamkuta, aliiba au ni mambo ya kutembea na wake za watu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimevutiwa na na hili neno wakuu,nimelikuta hapa hapa JF na maana yake nimeijulia hapa.. Juzi nimejaribu kumwita rafiki yangu kwa jina hili, akaniambia tena yeye ni kilaza haswa, nikamuuliza...
0 Reactions
33 Replies
21K Views
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na hii dhana ya uchochezi hasa kupitia mitandao ya kijamii. Dhana hii sasa imekuwa ni kibano kikali kwa watoa maoni wote katika mitandao na wengi wetu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nkekuwa nasikia mara nyingi neno kuhonga likitumika sana utasikia gari lile mbona kahongwa au simu ile kahongwa tu hana lolote kwa anayejua maana yake.[emoji122]
0 Reactions
5 Replies
16K Views
Tunaweza tulaumu tu hata maana ya makanikia hatujui?
2 Reactions
19 Replies
17K Views
Wakuu wa jukwaa, wakubwa kwa wadogo habarini, nimekaa nmetafakari sana nmeshindwa kupata jibu na kung´amua kiundani. Tafadhari ninaomba mnisaidie kwa faida yangu, kizazi hiki na kijacho. Nini...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda...
1 Reactions
116 Replies
62K Views
Kwa mantiki hiyo kibantu ni nini? Na kwa nin kimasai co kibantu?
0 Reactions
47 Replies
15K Views
Bado unasema Kiswahili ni lugha nyepesi eti kwa kuwa tunaelewana tu!!!?Tazama....... KIINGEREZA------KISWAHILI Device-------------Kitumi Photocopier------Kinukuzi... Duplicating Machine --Kirudufu...
5 Reactions
37 Replies
17K Views
*Pa Pa Pa* (Kimya) *Pa* - Kezilahabi, 2008 [Kwenye Diwani ya Dhifa] *Tafakuri Fupi Juu ya Shairi Hilo* Ushairi ni taaluma kama taaluma nyingine tanzu. Maudhui katika Ushairi...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
POLE TUNDU LISU. 1)Maisha ya mwanadamu,yamejawa na mikasa Mirahisi na migumu,mapito mengi na visa Inapomwagika damu,nchi inajitikisa Pole sana ndugu Lisu. 2)Ulihamka salama,kazini kuelekea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom