Mzalendowavita
Member
- May 13, 2017
- 96
- 36
Napenda sana niweze kuongea kiingereza lakin tabu inakuja namna ya kuunga maneno ili yalete maana kama kuna mtu anaweza anisaidie maana nakosa fursa nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app