GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Kuna Watu huwa wakiwa misibani hupenda kusema moja wapo ya neno hili kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili ambapo Kiukweli Mimi ambaye ni Mgeni hapa nchini Tanzania huwa nashindwa kujua nilishike lipi na mwishowe nabaki tu kuchanganyika.
Utamsikia Mtu wa Kwanza akisema nanukuu " Nimefiliwa na Ndugu yangu bhana... "
mara
Utamsikia Mtu mwingine akisema nanukuu " Nimefiwa na Ndugu yangu bhana... "
Mnaojua Kiswahili je hapa tushike lipi? Kufiliwa au Kufiwa?
Nitawashukuruni sana Watanzania wenye Kiswahili chenu mkinipa ufafanuzi wa hayo maneno ya Kiswahili ili nami nizidi Kubobea katika Kiswahili na taratibu nianze kukisahau Kinyarwanda na Kipuerto Rico changu.
Nawasilisha.
Utamsikia Mtu wa Kwanza akisema nanukuu " Nimefiliwa na Ndugu yangu bhana... "
mara
Utamsikia Mtu mwingine akisema nanukuu " Nimefiwa na Ndugu yangu bhana... "
Mnaojua Kiswahili je hapa tushike lipi? Kufiliwa au Kufiwa?
Nitawashukuruni sana Watanzania wenye Kiswahili chenu mkinipa ufafanuzi wa hayo maneno ya Kiswahili ili nami nizidi Kubobea katika Kiswahili na taratibu nianze kukisahau Kinyarwanda na Kipuerto Rico changu.
Nawasilisha.