Ndio kabira ya Abraham
Hahahaha umeua! Yaani wanafurahi kuhusishwa na Israel, Uturuki n.k?Ethiopia na sampuli zake zote Asili yao mashariki,
Wamo djibout,erithrea na somali hata jamii ya tutsi.
Na wanafurahia sana kuhusishwa na jamii za ng'ambo.
Watu wa ajabu sana
Wayahudi wa asili wenyewe ni Cushites na asili yao ni Northern East Africa.point five ya 'wakush' na 'wayahaud' ……...
hivi kwenye bible 'kush' alikuwa mtoto wa nani vile?Wayahudi wa asili wenyewe ni Cushites na asili yao ni Northern East Africa.
Uko sahihi sana. Waafrika wanatofautiana sanaUnaposema kwenye Uafrika hawapo unamaanisha nini?
Afrika kuna jamii nyingi tofauti kama ilivyo Asia na mabara mengine.
Siyo Waafrika wote ni Bantu kama wewe hilo lazima ufahamu.
Ethiopia siyo jamii ya watu wa aina moja, kuna Cushites, Nilotes na Omotic people na wote wana asili ya Afrika.
Kush ni mtoto wa Ham na ni mjukuu wa Nuhu.hivi kwenye bible 'kush' alikuwa mtoto wa nani vile?
Waarabu wa Afrika Kaskazini wanatokea Arabian Peninsula, wenyeji wa asili wa Afrika Kaskazini ni Amazigh / Berbers.Uko sahihi sana. Waafrika wanatofautiana sana
- Waarabu (wale wa Afrika kaskazini) bado ni Waafrika
- Nilotes (wa Daatoga, Wamasai, Wapokot na Wadinka wa Sudan)
- Hamites
- Bantu (Wamakonde, Wahehe, Wazaramo nk)
- Cushites (Waeritrea, Ethiopia, Wairaq wa Manyara nk)
- Khoisan (Wahadzabe, Wasandawe)
Hao waisrael waliorudishwa walienda Ethiopia kufanya nini?Baadhi ya waethiopia wana asili ya Uyahudi (Bèta Israel). Miaka ya 1980 - 1990 israel ilifanya operation ya kuwarudisha israel baadhi ya waethiopia. MFALME Haile Sellasie ni kizazi cha mfalme (nabii ) Suleiman mwana wa Daudi
Kwanini wasomali ni wakorofi kuliko wenzao wenye asili moja ?Ethiopia na sampuli zake zote Asili yao mashariki,
Wamo djibout,erithrea na somali hata jamii ya tutsi.
Na wanafurahia sana kuhusishwa na jamii za ng'ambo.
Watu wa ajabu sana
Ukorofi wao ni upi na wenzao ni akina nani?Kwanini wasomali ni wakorofi kuliko wenzao wenye asili moja ?
Nadhani hata wamadagascarEthiopia na sampuli zake zote Asili yao mashariki,
Wamo djibout,erithrea na somali hata jamii ya tutsi.
Na wanafurahia sana kuhusishwa na jamii za ng'ambo.
Watu wa ajabu sana