Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Pichani ni Julai 16, 1963, Rais wa Jamhuri ya Tanganyika Julius Nyerere akiweka katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa U Thant pini yenye alama ya mwenge wa taifa.
Kulia kabisa ni mwakilishi wa kudumu wa Tanganyika kwenye Umoja wa Mataifa wakati huo Chifu Erasto A.M Mang'enya na kushoto kabisa ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Tanganyika Oscar Kambona.
Mwenge wa taifa ulipandishwa kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro pindi Tanganyika ilipopata uhuru wake, mnamo tarehe 9, Desemba, mwaka 1961.
📸: UN Photo
Kulia kabisa ni mwakilishi wa kudumu wa Tanganyika kwenye Umoja wa Mataifa wakati huo Chifu Erasto A.M Mang'enya na kushoto kabisa ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Tanganyika Oscar Kambona.
Mwenge wa taifa ulipandishwa kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro pindi Tanganyika ilipopata uhuru wake, mnamo tarehe 9, Desemba, mwaka 1961.
📸: UN Photo