Jukwaa la Historia

On JF:

HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA KIGOMA UJIJI Utangulizi Ndugu yetu mmoja siku chache zilizopita aliturushia picha ya nyumba ya Suleiman Kagobe akaeleza kuwa nyumba hiyo ndipo...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Moja kati ya mashujaa waliokwenda kupigana vita Uganda dhidi ya Idd Amin Dada alikuwa ni Meja Jenerali 'MUHIDDIN KIMARIO'(marehemu kwa sasa). Wakati Idd Amin anavamia eneo la Kagera na kuishusha...
17 Reactions
20 Replies
4K Views
Kumekuwa na shinikizo kubwa sana kwangu kutoka kwa ndugu na jamaa kuwa nijibu maneno ya Yericko Nyerere kuhusu historia ya African Association (AA). Wengi waliomsikiliza Yericko katika kipindi...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
MWANAHISTORIA FRANCIS DAUD ALIPOTEMBELEA NYUMBA YA ALI MSHAM MAGOMENI MAPIPA DAR ES SALAAM Historia ya Ali Msham ni katika historia zinazosisimua za wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika kwa...
2 Reactions
0 Replies
787 Views
Bustani za Mughal na Soko la Polo iliyoboreshwa. Srinagar (Jammu na Kashmir) SRINAGAR, Taji la thamani ya Kashmir,imekuwa ni nembo ya ishara ya ukaribisho kwa wajumbe kutoka nchi za G20 katika...
0 Reactions
0 Replies
472 Views
Mughal Gardens and revitalized Polo View Market Srinagar (Jammu and Kashmir) Srinagar, the crown jewel of Kashmir, welcomed delegates from G20 countries on a journey of cultural immersion and...
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Jana ilikuwa siku nzuri na ya furaha kubwa kwangu kwa kutembelewa nyumbani na rafiki yangu Guled Issa ambae kwa miaka mingi tukijuana kwa sauti na kuandikiana mtandaoni. Jana kanifikia kwangu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwalimu Nyerere hajapata kueleza historia yake vipi alifahamika na kuwa maarufu Dar es Salaam kiasi cha kuaminika kuchaguliwa kuwa Rais wa TAA. Iweje historia muhimu kama hii haijulikani? Kwa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukitazama vyema picha hii, utagundua kuna mtu mmoja tu mweusi (Muafrika). Huyo ndiye Nearest au “Master Distiller” kwa jina maarufu. Alizaliwa wakati wa utumwa mnamo huko nchini Marekani 1820...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
BURIANI RASHID "INZI" TIMAMY MWANASOKA WA SIFA Imekuwa kawaida yetu kuwa hatuna historia yetu yoyote iliyohifadhiwa rasmi. Kama si kwa hii video ya marehemu Abdulkarim Shah maarufu kwa jina la...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Baraza la Mawaziri 1963 Julius K. Nyerere 41 years old, President of Republic of Tanganyika Rashidi Mfaume Kawawa, 34 yrs Vice-President Sheikh Amri Abedi Kaluta, 39 yrs Minister of Justice...
8 Reactions
28 Replies
6K Views
NYUMBA YA OMARI SELEMANI KAGOBE NA MNARA WA NYERERE KIGOMA UJIJI Mbele ya nyumba ya marehemu Omari Selemani Kagobe umejengwa mnara unaojulikana kama Mnara wa Nyerere. Mnara huu ni kumbukumbu...
2 Reactions
1 Replies
744 Views
Wazungu Walivyo washenzi walitudanganya kupitia dini zao kuwa ili kuepuka Laana za ukoo Kutoka kwa Babu au bibi zetu, tusiwaite watoto wetu majina yao kama SHIRIMA, MARWA...
19 Reactions
85 Replies
6K Views
Nimeandika mengi hapa kuhusu Abbas Sykes. Mengi sana. Atakae kumjua Abbas Sykes atafute tu hapa na kwengineko ataisoma historia yote ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa undani wake. ''Hesabu...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Wachaga ni kabila lenye asili ya Kibantu na mchanganyiko wa asili ya Kikushi wanaoishi kaskazini mwa Tanzania, Kilimanjaro mkoani Kilimanjaro. Kabila la Wachaga linatajwa kuwa la tatu kwa ukubwa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii?! Wataalamu na walimu wa historia duniani kote wanaeleza fani ya historia inamsaidia binadamu kujua alipotoka, alipo na anapoelekea. Nikitafakari hili, nawaza historia ya...
1 Reactions
2 Replies
629 Views
Najua kila kabila lina sifa zake nzuri na zisizofurahisha. Mfano Wanyaturu wengi ni warefu na weupe. Pia wana changamoto kwenye dental fomula zao yaani mpangilio wa meno haujakaa vizuri. Njoni...
12 Reactions
566 Replies
185K Views
NYARAKA ZA LAWI NANGWANDA SIJAONA (1928 - 2005) Katika utafiti wangu wa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika nimebahatika kuona nyaraka kadhaa za wazalendo wenyewe na waasisi wa vuguvugu la...
10 Reactions
22 Replies
4K Views
HARRY BELEFONTE MIAKA 96 Miaka ya mwanzoni 1970s nilikuwa napita nje ya ofisi ya British Airways. Mbele yangu nikawaona Harry Belafonte na Sidney Poitier wanatoka katika ofisi hiyo...
11 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom