KAKA ZITTO NAOMBA UNIJIBU HAYA MASWALI.
1. Kwanini wewe unaakili sana hadi unakera?
2. Kwanini unatoa elimu bure bungeni bila kujali ugumu wa kazi ya kumuelimisha mtu kama Nape na genge lake...
Habari wana jamvi!!!
nimepata kukisoma kitabu cha mwalimu Nyerere kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA.katika kitabu hicho mwalimu anaelezea namna alivyopambana kufa na...
Ni kweli wanaimba injili lakini katika toleo hili naona kuna kilichojificha.Matha ameolewa Ok lakini katika wimbo wa pili kwa sehemu kubwa Mdogo wake Beatrice ametumia kuonesha umbile lake kwenye...
Wakuu heshima kwenu!
Ikiwa Leo ni siku muhimu kwa taifa letu;
Nimeamua kuwaandikia wale walio vijana sayansi ya kumudu kazi hii ya kizalendo.
Ni taaluma kama ilivyo taaluma nyingine za fizikia...
Mashujaa wa Uhuru Waliosahaulika
Na Alhaj Abdallah Tambaza
Abdallah Tambaza
KATIKA taifa lolote duniani, kuna watu huwa wanaenziwa, wanatukuzwa na kutajwatajwa, kama namna ya kukumbuka...
Aman Thani
‘’….inataka ifahamike kuwa Ufalme wa Zanzibar ulikuwa ni Ufalme wa Katiba na Mfalme mwenyewe naye alikuwa Mfalme wa Katiba. Ni maarufu kua chama cha Afro Shirazi hakimtaki Mfalme...
Nadharia nyingi za kisayansi zimejengwa katika misingi ya wanasayansi wa Kigiriki(Uyunani ya kale) Sasa mbona Ugiriki ya sasa haiwiki kama ya zamani?(wakumbukeni akina PLATO na ARISTOTLE)
Julius Kambarage Nyerere (April 13, 1922 - October 14, 1999) was President of Tanzania (previously Tanganyika), from the country's founding in 1964, until his retirement in 1985. Born in...
Msikikilize Mohamed Said akimzungumza Mwalimu Nyerere katika Azam TV kuhusu harakati za TANU 1954 hadi kupatikana kwa uhuru mwaka wa 1961:
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere -Azam TV | Mohamed Said
Mataifa ya Ulaya mashariki yakiongozwa na Urusi kwa nini hayakujishughulisha kutafuta na kupata makoloni Duniani kama mataifa ya Ulaya magharibi yakiongozwa na Uingereza? Pia Marekani 1884-1885...
Wadau naomba anayejua anijuze kama ni kweli paliwahi kuwepo Rais wa wachaga. Je ni kweli pia chagaland walikuwa na sarafu yao? Habari hizi nimesimuliwa na mzee mmoja hapa Nachingwea nikiwa katika...
Wana JF Jina CHOGGA limekua likitajwa miongoni mwa wana Siasa nguli wa Taifa kuanzia 1960s-90s
Inasemwa Mwanasiasa huyu alikua Mbunge wa Iringa kusini(1963-65),Yeye Pamoja na wenzake 8...
Mohamed Siad Barre
Na Nova Kambota Mwanaharakati,
Ukitaja nchi za kisoshalisti za kiafrika za miaka 1970 hutaacha kuitaja Somalia ya jenerali Mohamed Siad Barre aliyewahi kuongoza Somalia...
Ahmed Seif
Naanza kwa kusema kuwa inawezekana kabisa kuwa Ahmed Seif ndiye muasisi wa TANU mdogo kupita wote katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Yeye alijiunga na harakati akiwa...
Nashangaa sana tunasema kwamba kasi ya serikali hii awamu ya tano ni kupambana vikali na Rushwa lakini hatujiulizi ni hatua gani juzi uchaguzi wa Meya jiji la Tanga zilichukuliwa? Hapa rushwa...
Wanamajlis,
Kiasi cha kama miaka miwili iliyopita palikuwa na mjadala mkali sana
hapa ukumbini kuhusu hotuba ya Mwalimu Nyerere alipomtaja Abdul
Sykes.
Yericko Nyerere, Maalim Faiza Foxy na...