How Kennedy was assasinated

Niliona video yake duuuh noma isee

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Andrew ile mada ihusuyo watu kulipishwa kuangalia kaburi la J.K Nyerere(R.I.P) haujajibu, mi natangulia nikukute kule.

Ile mada nimeijibu. Tulikuwa na mkutano wa familia Msasani a few months ago. Madaraka akasema wale watu why do they have to complain so much when we charge them 2000 sh.? Mimi nikasema basi punguzeni tozo iwe 1000sh. Sasa sijui ni mada gani inayozungumziwa pale,but I hope this will answer it.
 
Hii makala kwa wale ambao hawana muda wa kuisoma inasema Kennedy aliuawa na wale wale secret service agents waliokuwa wanamlinda. Kulikuwa na device ndani ya gari ambayo ilikuwa operated by the secret service agent driver of the car which was fired to kill Kennedy. As well as several marksmen by the roadside who also shot at Kennedy and Governor Connally.
The car was destroyed within 48 hours. The brain of Kennedy disappeared. It was never found. Mwili ulipofika Washington haukuwa na ubongo[kwa sababu ubongo ungeonyesha jinsi alivyouawa.]
Why was he killed.? He was trying to stop a war between Russia and America by defusing the Cuban Missile Crisis. Which was a very good[noble,sensible] thing to do. But it is not every one there who does not want a war with Russia. So,George Bush Sr[who was the head of the CIA],Lyndon Johnson and Rockefellor killed him.
These things are not coming from my head. You should read the article yourself. It is a Zionist conspiracy. It is a very complicated theory. It goes something like this. The Bolsheviks were expelled from Russia,and Russia became more or less a capitalist country. But the Bolsheviks went to Israel,and now they want a war with Russia so that they can get Russia back,and they want to make the whole world communist with the headquarters in Jerusalem. With their influence on the United States government,they want to force America into a war with Russia. And Kennedy wanted to stop this so he had to go.
If you want to read all this gossip you can find it in the phoenix archives. This article is in the Express Journal Vol. 3,section 10.


 
Hii makala kwa wale ambao hawana muda wa kuisoma inasema Kennedy aliuawa na wale wale secret service agents waliokuwa wanamlinda. Kulikuwa na device ndani ya gari ambayo ilikuwa operated by the secret service agent driver of the car which was fired to kill Kennedy. As well as several marksmen by the roadside who also shot at Kennedy and Governor Connally.
The car was destroyed within 48 hours. The brain of Kennedy disappeared. It was never found. Mwili ulipofika Washington haukuwa na ubongo[kwa sababu ubongo ungeonyesha jinsi alivyouawa.]
Why was he killed.? He was trying to stop a war between Russia and America by defusing the Cuban Missile Crisis. Which was a very good[noble,sensible] thing to do. But it is not every one there who does not want a war with Russia. So,George Bush Sr[who was the head of the CIA],Lyndon Johnson and Rockefellor killed him.
These things are not coming from my head. You should read the article yourself. It is a Zionist conspiracy. It is a very complicated theory. It goes something like this. The Bolsheviks were expelled from Russia,and Russia became more or less a capitalist country. But the Bolsheviks went to Israel,and now they want a war with Russia so that they can get Russia back,and they want to make the whole world communist with the headquarters in Jerusalem. With their influence on the United States government,they want to force America into a war with Russia. And Kennedy wanted to stop this so he had to go.
If you want to read all this gossip you can find it in the phoenix archives. This article is in the Express Journal Vol. 3,section 10.


Ganesh,

If you get your timeline wrong, we begin to wonder what else you got wrong.

George H. W Bush hakuwa head of CIA until 1976.

Director of Central Intelligence
In office
January 30, 1976 – January 20, 1977
PresidentGerald Ford
Preceded byWilliam Colby
Succeeded byStansfield Turner
George H. W. Bush - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Ganesh,

If you get your timeline wrong, we begin to wonder what else you got wrong.

George H. W Bush hakuwa head of CIA until 1976.

Ganesh yeye ametoa tafsiri ya kilichoandikwa tu kwenye makala kwa ajili ya wale wavivu wa kusoma.

Makala "imempotosha" kwa kuweka tungo tata

Do you see that this can never be brought forth in truth for the public-it could convict your own President for Murder for, or course, if nothing more, he would have known about this as Head of the CIA and conveniently became Head of the CIA to keep the thing under wrap
 
Ukisoma hiyo makala hilo swali linajibiwa,''He decided to be the CIA chief in order to cover up the crime.''

Unauliza what else can be wrong? Soma Phoenix Archives. Kuna story pale inasema yule mtu mmoja alikajiriwa na Kampuni Poland,alikuwa anawauzia Wanazi cyanide iliyokuwa inatumika Aushwitz. Halafu baadaye yule mtu akaamua kuwa Mkatoliki,later he was ordained as a bishop in Poland as the youngest ever Polish bishop.
Baadaye akapelekwa Vatican,wakati ule ulikuwa ni wakati wa uchaguzi wa Pope,akachaguliwa John Paul 1 amabye baada ya siku thelathini akauawa kwa cyanide poisoning. Baadaye yule cyanide salesman akachaguliwa kuwa Pope,akawa John Paul 2. Nadhani umeielewa story;inasema John Paul2 was a horrid fake.
Naweza kuiweka hiyo pdf posting kesho kama mod will not object,kwa sababu hizi makala ni ndefu.
 
Unauliza what else can be wrong? Soma Phoenix Archives. Kuna story pale inasema yule mtu mmoja alikajiriwa na Kampuni Poland,alikuwa anawauzia Wanazi cyanide iliyokuwa inatumika Aushwitz. Halafu baadaye yule mtu akaamua kuwa Mkatoliki,later he was ordained as a bishop in Poland as the youngest ever Polish bishop.
Baadaye akapelekwa Vatican,wakati ule ulikuwa ni wakati wa uchaguzi wa Pope,akachaguliwa John Paul 1 amabye baada ya siku thelathini akauawa kwa cyanide poisoning. Baadaye yule cyanide salesman akachaguliwa kuwa Pope,akawa John Paul 2. Nadhani umeielewa story;inasema John Paul2 was a horrid fake.
Naweza kuiweka hiyo pdf posting kesho kama mod will not object,kwa sababu hizi makala ni ndefu.

Andrew, heshima mbele mkuu. Nimesoma hizi nondo zako, I'm very impressed. Hii ya Pope John Paul II imeniacha mdomo wazi kbs.
 
Unauliza what else can be wrong? Soma Phoenix Archives. Kuna story pale inasema yule mtu mmoja alikajiriwa na Kampuni Poland,alikuwa anawauzia Wanazi cyanide iliyokuwa inatumika Aushwitz. Halafu baadaye yule mtu akaamua kuwa Mkatoliki,later he was ordained as a bishop in Poland as the youngest ever Polish bishop.
Baadaye akapelekwa Vatican,wakati ule ulikuwa ni wakati wa uchaguzi wa Pope,akachaguliwa John Paul 1 amabye baada ya siku thelathini akauawa kwa cyanide poisoning. Baadaye yule cyanide salesman akachaguliwa kuwa Pope,akawa John Paul 2. Nadhani umeielewa story;inasema John Paul2 was a horrid fake.
Naweza kuiweka hiyo pdf posting kesho kama mod will not object,kwa sababu hizi makala ni ndefu.

Very true though siprising
 
Unauliza what else can be wrong? Soma Phoenix Archives. Kuna story pale inasema yule mtu mmoja alikajiriwa na Kampuni Poland,alikuwa anawauzia Wanazi cyanide iliyokuwa inatumika Aushwitz. Halafu baadaye yule mtu akaamua kuwa Mkatoliki,later he was ordained as a bishop in Poland as the youngest ever Polish bishop.
Baadaye akapelekwa Vatican,wakati ule ulikuwa ni wakati wa uchaguzi wa Pope,akachaguliwa John Paul 1 amabye baada ya siku thelathini akauawa kwa cyanide poisoning. Baadaye yule cyanide salesman akachaguliwa kuwa Pope,akawa John Paul 2. Nadhani umeielewa story;inasema John Paul2 was a horrid fake.
Naweza kuiweka hiyo pdf posting kesho kama mod will not object,kwa sababu hizi makala ni ndefu.

kweli mambo ya wakatoliki na tawala za dunia hii wanatuongoza bila wengi wetu kujua!
 
Hii makala kwa wale ambao hawana muda wa kuisoma inasema Kennedy aliuawa na wale wale secret service agents waliokuwa wanamlinda. Kulikuwa na device ndani ya gari ambayo ilikuwa operated by the secret service agent driver of the car which was fired to kill Kennedy. As well as several marksmen by the roadside who also shot at Kennedy and Governor Connally.
The car was destroyed within 48 hours. The brain of Kennedy disappeared. It was never found. Mwili ulipofika Washington haukuwa na ubongo[kwa sababu ubongo ungeonyesha jinsi alivyouawa.]
Why was he killed.? He was trying to stop a war between Russia and America by defusing the Cuban Missile Crisis. Which was a very good[noble,sensible] thing to do. But it is not every one there who does not want a war with Russia. So,George Bush Sr[who was the head of the CIA],Lyndon Johnson and Rockefellor killed him.
These things are not coming from my head. You should read the article yourself. It is a Zionist conspiracy. It is a very complicated theory. It goes something like this. The Bolsheviks were expelled from Russia,and Russia became more or less a capitalist country. But the Bolsheviks went to Israel,and now they want a war with Russia so that they can get Russia back,and they want to make the whole world communist with the headquarters in Jerusalem. With their influence on the United States government,they want to force America into a war with Russia. And Kennedy wanted to stop this so he had to go.
If you want to read all this gossip you can find it in the phoenix archives. This article is in the Express Journal Vol. 3,section 10.



Mauaji ya JFK ni mpango mahsusi ulioratibiwa na kufanikishwa na GENGE hatari la ILLUMINATI.Waliamua kumuondoa baada ya kuona anakwenda kinyume na mipango yao.Hili genge ambao wenyewe wanajiita 'The Elites One',ndio linaloendesha Serikali ya Marekani na kila Rais wa nchi hiyo ni lazima awe member wa genge hili.Na kila Rais wa nchi hiyo anapewa ajenda maalum ya kuitekeleza pindi akiwa madarakani.Mfano George W. Bush na vita vya Iraq ni ajenda ya hawa jamaa,lengo ni kunufaika na mafuta ya nchi hiyo.
Kwa hiyo basi vyombe vyote vya ulinzi na usalama;FBI,CIA,Secret Service,DEA,Police Deepartments n.k. vinadhibitiwa na genge hili.Sio hayo tu mpaka mabunge ya Seneti na la Wawakilishi yapo mikononi mwao.Bila kusahau PENTAGON nayo halikadhalika ipo mikononi mwao.Kiufupi utawala mzima uko chini yao.
Kilichomponza JFK ni kupingana nao.Na inasemekana kwamba JFK aliingia matatani na hawa jamaa baada ya kupinga sana vita ya Vietnam ilhali huu ulikua ni mpango wao wa kutengeneza pesa.Na pia aliapa kuliangamiza genge hili hivyo wakaamua kumuondoa kabisa.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba genge hili halikutaka kuona Kennedy mwingine anagombea Urais.Kwa hiyo mkakati ukawekwa wa 'kuwafyeka' akina Kennedy wote.Hivyo Robert Kennedy na Teddy Kennedy nao waliuawa.
Habari zao zinatisha hawa jamaa.Ndio wahusika wakuu na waratibu wa vifo vya watu mashuhuri kama Martin Luther King Jr,Malcolm X,Bob Marley,Princess Diana n.k.
 
Unauliza what else can be wrong? Soma Phoenix Archives. Kuna story pale inasema yule mtu mmoja alikajiriwa na Kampuni Poland,alikuwa anawauzia Wanazi cyanide iliyokuwa inatumika Aushwitz. Halafu baadaye yule mtu akaamua kuwa Mkatoliki,later he was ordained as a bishop in Poland as the youngest ever Polish bishop.
Baadaye akapelekwa Vatican,wakati ule ulikuwa ni wakati wa uchaguzi wa Pope,akachaguliwa John Paul 1 amabye baada ya siku thelathini akauawa kwa cyanide poisoning. Baadaye yule cyanide salesman akachaguliwa kuwa Pope,akawa John Paul 2. Nadhani umeielewa story;inasema John Paul2 was a horrid fake.
Naweza kuiweka hiyo pdf posting kesho kama mod will not object,kwa sababu hizi makala ni ndefu.

You make me lough loudly...this is a fabricated story
 
Back
Top Bottom