Jukwaa la Historia

On JF:

Dr Martin Luther King, Junior (Atlanta, Georgia, 15 Januari 1929 – Memphis, Tennessee, 4 Aprili 1968) alikuwa Mkristo mwenye asili ya Afrika, mchungaji wa Kibaptisti na mwanaharakati mashuhuri...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Dear JF Members! Would love to share with Madiba's speech delivered when he accept Honorary Doctorate at Havard University way back 1998. https://www.youtube.com/watch?v=5Zh8otC-c3s
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wana JF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nia na malengo ya kuanzisha thread hii ni kukumbushana/kuelimishana/kupeana mawazo/kupeana mtazamo na kuelezana juu ya historia ya siasa...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
President of the Democratic Republic of the Congo Assumed office 26 January 2001 Acting: 17 January 2001 – 26 January 2001 Prime Minister Antoine Gizenga Adolphe Muzito Louis Alphonse Koyagialo...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wadau, nimekumbuka mbali sanaaa baada ya kupita mitaa hii leo infact sijaamini nilichoona sababu ama kwa hakika muda unakimbia sana. Mimi ni moja kati ya vijana wadogo niliyo wahi kuhish...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kimondo cha Mbozi ni kimondo ambacho kimeanguka kutoka angani karibu na mji wa Vwawa, Kinakadiriwa kuwa na uzito wa zaidi ya tani 12, kilianguka ndolezi, kijiji cha isela wilayani mbozi katika...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
wanabodi, Naomba nijuzwe tangu nchi zetu za kiafrika zipatiwe huu Uhuru wa Bendera tulio nao hivi sasa kweli kuna kiongozi wa nchi yoyote katika bara hili la Africa aliyewahi kupatwa na haya...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Aliekuwa Rais wa Zanzibar,kwa yeyote mwenye kujua maisha yake ya kisiasa (the rise and fall)ya huyu mzee alietangulia mbele ya haki atujuze .
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Inasemekana Nyerere si mtanganyika wa kwanza kuhutubia UN, na kwamba wapo waliomtangulia lakini wazee wakajikomba kwa babu wakapindisha historia......kuna mwenye data! Kitambo nlipata kujuzwa...
1 Reactions
110 Replies
24K Views
WAKRISTO WA ZANZIBAR HISTORIA FUPI YA MAKANISA YA MWANZO YA ZANZIBAR WARENO 1500 1800 Ukiristo uliletwa kwa mara ya mwanzo Zanzibar na Wareno. Wareno wakielekea juu kutoka kusini baada ya...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
UHASAMA WA KIANJA NA KARAGWE Wakati wa utawala wa kijerumani ndani ya buhaya(bukoba),Omukama Kahigi wa Kianja alikuwa na nguvu sana kwa maana yeye aliwakaribisha Wajerumani katika utawala wake...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1.Uasi wa Nat Turner. pia uitwao Ufufuo wa Southampton, labda ni uasi wa mtumwa maarufu zaidi katika Amerika ya Kaskazini. Uasi huo ulipangwa kwa uzuri na Turner na ulifanyika Agosti 1831...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mohamed Said na uvurugaji wa historia ya nchi yetu Na Prudence Karugendo ''Nimevumilia sana mpaka imefikia mahali naona niandike kuhusu uvurugaji wa makusudi wa historia ya nchi yetu unaofanywa...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
MAZIKO YA ABDULWAHID SYKES 1968 Kulia: Abdul Sykes, Tewa Said Tewa aliyekaa kulia ni Chief Abdallah Said Fundikira, Hijja, 1964 Mazishi ya Abdulwahid Sykes yalifanyika siku ya Jumapili tarehe...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama unakumbuka vizuri mnamo DESEMBA 13 mwaka 1991 Mwalimu Julius Nyerere alizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Msasani, Dar es Salaam, juu ya kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
NIMESOMA HISTORIA YA UJERUMANI NA JINSI DIKITETA HITLER ALIVYOINGIA MADARAKANI. 1. ALICHAGULIWA BAADA YA KUONEKANA MTETEZI WA MASIKINI. 2. MAMBO MENGI ALIYOFANYA MWANZO WA UTAWALA WAKE YALIKUWA...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
#Miaka19YaMwalimu TUNAKWENDA KUADHIMISHA MIAKA 19 YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE, BABA WA TAIFA. JE, KITU GANI UNAKUMBUKA KWENYE UONGOZI WAKE KINAKUFURAHISHA HADI LEO, NA JE ULIKUWA WAPI...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi wana JF. Nimeona nilete mada hii hapa mbele yenu baada ya kukutana na mtanzania mwenzangu na kusema kabila lake ni moja wapo ya "endangred species" maana yake wapo labda chini ya 1,000. So...
0 Reactions
897 Replies
260K Views
Back
Top Bottom