KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA KIFO CHA ABDUL SYKES
Ile kamati ndani ya kamati katika TAA ya Abdul Sykes, Ally Sykes John Rupia na Dossa Aziz walikuwa wameshakubaliana kuwa Nyerere lazima achukue ile...
Harakati za Sam Nujoma!
Kwa ufupi...
...Mamia ya wakimbizi kutoka kusini-magharibi mwa Afrika walifanikiwa kutoroka kwa msaada kutoka vikundi vya wapigania uhuru wa mataifa mengine lakini zaidi...
By: ROB WILSON
In the mid-nineteenth century, western Tanzania saw a leader rise who would revolutionise trade and power relations in the region in his lifetime.
One of the few known picture of...
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekutana na kufanya mazungumzo na Dr.Shein Mjini Zanzibar.
Mkutano huo uliofanyika ikulu mjini Unguja, tarehe 25 Septemba, 2018 ulilenga...
Wakuu habari zenu.
Hatua ya kwanza ya BARRICK GOLD iLikuwa kuuza share zake zilizobakia kwa kwenye mgodi wake uliopo ARGENTINA kwa SHADONG MINING (China State owned company) 50/50 mine ownership...
*~ Afanya ziara ya kushtukiza na kubaini Madudu*
Na Mwandishi wetu,
Afisa Tarafa Mihambwe, Gavana Emmanuel Shilatu amekemea vikali suala la utoro na uzembe wa kufundisha unaofanywa na Waalimu...
"If after 50 years of independence you have not built the necessary infrastructure for your people, are you humans?
"If you sit on gold, diamond, oil, manganese, uranium... and your people don't...
wanabodi,
napenda kujua kwenye vita ya mwaka1978-79 kati ya tz na Uganda hakukuwa na visa vyovyote vya udukuaji wa mawasiliano ya wanajeshi wetu ikizingatiwa kuwa mawasiliano kati ya makao makuu...
Utangulizi
Francis Daudi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu Ulaya ambae akimaliza masomo yake atakuja kuwa mwalimu wa historia. Tumejuana na tunabadilisha mawazo katika historia ya Tanzania. Ameniletea...
Simulizi binafsi za Salim Said Salim
kama zilivyochapishwa na gazeti la Mwananchi la leo tarehe 26 Sept-18
Simulizi hii imenisisimua sana na imenikumbusha mengi kuhusu tamaduni za asili ambazo...
wanabodi,
napenda kujua kwenye vita ya mwaka1978-79 kati ya tz na Uganda hakukuwa na visa vyovyote vya udukuaji wa mawasiliano ya wanajeshi wetu ikizingatiwa kuwa mawasiliano kati ya makao makuu...
Jamani wana historia naomba mnifahamishe kuna utata umetokea kuhusu nani alikuwa raisi wa kwanza wa tanzania baada ya tanganyika.....
Kuna wana historia wanasema mwinyi ndo raisi wa kwanza...
Salaamu wanabodi!!
Wanyakyusa ni watu wajasiri sana katika kufanya mambo yao,hawaogopi mtu na wawazi sana hawajui kumficha mtu,wanapenda sana vitu vizuri, Anayejua historia ya watu hawa naomba...
Huyu bwana alikuwa emperor,mfalme wa dola ya ufaransa katika miaka ya 1800.
Alikuwa ni mmoja kati ya mashuja wa kipekee waliowahi kutokea katika historia ya ufaransa.Baada ya mapinduzi ya...
I am writing this personal experience not to get any sympathy from the reader but to raise awareness to the public out there not to fall Victim as I have. I wouldn't want to see or read any of...
Dola la Marekani kutoka kuiokoa Ulaya:
Mwaka 1917 isiangukie mikononi mwa Ujerumani;
Mwaka 1924 kupitia Dawes & Young Plan isiangukie kwenye Socialist Revolutions;
Mwaka 1941 baada ya Pearl...
Wanamajlis,
Itakapofika 12 Oktoba itakuwa miaka miaka 50 toka Abdulwahid Sykes kufariki.
Huu ni wakati mzuri kufanya tathmini ya historia ya uhuru wa Tanganyika kwa lau
kwa ufupi kumkumbuka yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.