Nani anayajua majina ya wanawake hawa wanne wanachama wa mwanzo wa TANU
na wanawake waliomsindikiza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Uwanja wa
Ndege wa Dar es Salaam safari ya kwanza UNO 1955...
Kulia Bi. Chiku Kisusa (Mama Sakina), Bi. Titi Mohamed, wa kwanza kushoto
Bi. Tatu bint Mzee wakiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam safari ya...
Shajara ya Mwana Mzizima:
TAARABU NA UHURU WA TANGANYIKA
Na Alhaji Abdallah Tambaza
Mwalimu Subeti Salum Subeti
(1903 - 1974) mmoja katika wapiga
fidla (violin) maarufu wa Egyptian
katika...
SHAJARA ZA VITA ZA LANCE CORPORAL KLEIST SYKES
(1894 - 1949)
VITA VYA KWANZA VYA DUNIA 1914- 1918
Utangulizi
November 11, 1918 ndiyo siku Vita Vya Kwanza Vya Dunia...
Ni
Ni miaka mitano sasa tokea kuuwawa kwa Gaddafi, walibya waliamini uhuru wao na maendeleo yapo katika kumuangusha kwake lakini toka kuuwawa kwake nchi haina Amani tena imepoteza nguvu na...
Jina kamili : Ernesto Guevara
Kazi : Daktari, mwanamapinduzi wa kijamaa (marxist)
Uraia : Argentina
Kuzaliwa : June 14 1928
Kufariki : October 9, 1967 ,Bolivia milima ya La heguera
Chanzo cha...
Unamfahamu Mzee Lawi Nangwanda Sijaona? Leo angekuwa anatimiza miaka 90. Tupate wasifu wake ulioandikwa na Kamaradi Victor Richard
_______
KOMREDI LAWI NANGWANDA SIJAONA: MZALENDO, MWADILIFU NA...
Hawa watu hupatikana katika nchi ya Myanmar zamani Burma,wanawake wa kikayan huanza huzivaa bangili za shingoni,wakiwa bado wadogo sana
Shingo za wanawake hawa hurefuka kiasi cha kwamba...
John Pombe Joseph Magufuli (amezaliwa 29 Oktoba, 1959) ni rais wa tano wa Tanzania. Anatokea katika chama cha CCM.
John Pombe Magufuli
John Pombe Magufuli
John Pombe Magufuli
Rais wa Tanzania...
Mwene Ngalu(I) mwanamke mtawala wa Kabila la Wafipa
]
Makao makuu ya Mwene Ngalu wa kabila la Wafipa yaliyopo mjini Sumbawanga
Kitabu kilichoandikwa na Mkuu wa wilaya wa enzi za Ukoloni wa...
Mjukuu wa Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar amesoma historia ya TANU jinsi
ilivyoingia Jimbo la Kusini (Southern Province) kupitia juhudi za wazalendo kama
Suleiman Masudi Mnonji, Yusuf Chembera...
Utata mafao ya wastaafu yapata majibu
Kanuni mpya ya sheria ya hifadhi ya mfuko wa jamii ya mwaka 2018 imeondoa ‘ubaguzi’ kwa watumishi wa sekta binafsi na Serikali ambao sasa watatumia kikokotoo...
habari wanajamii forums, leo nimeiwaza mahakama hii iitwayo mahakama ya hakimu mkazi kisutu, iliyopo pembeni ya maktaba kuu ya taifa katikati ya jiji la dar,
kwa hakika ndiyo mahakama maarufu...
The beauty of the German Castles has always been immortalized in the Disney World which remains etched in our mind distinctly.
-------------
Castles in Germany
Nimesoma kitabu cha historia ya nchi yetu kuanzia wareno, wajerumani, waarabu, waingereza hadi uhuru kilichotungwa na H.MAPUNDA toleo la mwaka 1979 nimejifunza mengi yafuatayo:-
1.kumbe kuna watu...
Nimepitia kitabu cha kanisa katoliki kinachoelezea historia za watakatifu, kwa nchi za Afrika Mashariki nimeona mashahidi wa uganda pekee kama karoli lwanga, mathias mulumba n.k, na kwa majirani...
Of late, mambo hayaendi vizuri sana kwa Mh Rais John P. J. Magufuli na Baraza lake la Mawaziri.
Kuna mengi mazuri mh. Magufuli anafanya vizuri, lakini yafuatayo ni shiida sana na imebidi watu...
Hii ni nyumba ya kihistoria iliyojengwa na muingereza ambayo baada Tanzania kupata uhuru nyumba hiyo ilianza kutumiwa na Mkuu wa mkoa ambaye kwa wakati huo alikuwa ni mmoja wa wasomi wachache...
Zamani kabla ya uhuru miaka ya 50 kulikua na nchi ya wachagga tena ilikua jamhuri kamili walikua wanamalizia tu taratibu kule UN iwe na mwakilishi kamili
kulingana na history walikua na rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.